Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika

Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika

Kwema Wakuu!

Funga ni yako na dini yako na Mungu ni wako. Funga yako sio funga ya taifa au ya dunia. Ni yako wewe binafsi na Watu wanaoamini katika kile unachokiamini. Huyo Mungu unayemuamini usidhani kila mtu anamuamini kama wewe.

Waislamu ni moja ya Watu wasio na uvumilivu katika kuishi na jamii zingine hasa wakiwa wengi. Ni wabinafsi Sana. Wanapenda attention na kujiona wanahaki kuliko wengine. Jambo ambalo ni tafsiri halisi ya ubinafsi.

Waislamu huwa waungwana pale wanapokuwa wachache. Ukiona muislamu ni muungwana mara nyingi jua ni dhaifu, yaani wapo wachache.

Wakari nipo Advance, Waislam hawakuwa wengi walikuwa kama robo tuu ya Advance wote. Shule haikuwa ya dini lakini wao wanaleta mambo ya Dini. Wao kila kitu wanaona kama wanaonewa.

Ishara nyingine ya kuwa uislamu ni ubinafsi ni pale ambapo hawataki Quran yao ikosolewe. Wao wanadhani wanavyoamini Quran iko PERFECT basi kila mtu anaamini hivyo. Kitendo cha kutotaka kukosolewa ni ishara kuu ya ubinafsi. Hata Mungu muumbaji mwenyewe kama hataki kukosolewa naye ataingia katika kundi la wabinafsi.

Ni kama mwanaume aliyeoa ambaye hali nyama basi atataka nyumba yake wasile nyama. Huo si wendawazimu na ubinafsi uliopitiliza.

Kwa nini Watu wasile hadharani?
Huo mwezi wa Ramadhani ni mtukufu kwa Waislamu na sio kwa Watu wote. Yaani watu wasile kisa kuna Watu fulani wapo kwenye mfungo? Ni vioja na Viroja.

Huwezi ita dini ya HAKI wakati kuna ubinafsi unaoendelea katika dini hiyo. Haki ni pamoja na kuheshimu imani na mitazamo ya Watu wengine.

Fikiria mwezi wa Ramadhani alafu kwenye nchi ambazo Waislamu ni wachache waambiwe hakuna Watu kufunga, hiyo inakuja akilini? Yaani kisa ninyi msiowaislamu ambao ni wengi hamfungi basi mnataka waliowaislam wasifunge kama ninyi. Huo ni wendawazimu.

Dini ni yenu na familia zenu. Sio dini na imani ya Watu wote.

Ati sio uungwana mtu kula mbele ya mtu aliyefunga. Hizo akili niza wapi? Sidhani hata Quran imeandika vitu vya hovyo namna hiyo.

Elimu ya Haki na kujitambua ni muhimu. Kama mtu anaweza kumpiga mtu kisa anakula siku ya mfungo wa ramadhan atashindwa vipi kumuua kisa Dini?

Hao vijana waliofanya huo uhalifu washughulikiwe mapema, waache kuchafua amani ya nchi na kuleta malumbano na vita vya kidini. Pia wasiwachafue Waislamu wema ambao kila siku wanahitaji kuonyesha uislamu ni haki na Amani.

Ijumaa Kareem.

Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Dar es Salaam.
"Kama mungu muumbaji hataki kukosolewa basi naye ni mbinafsi"

HUU NI MSIBA MKUBWA.
1.Unatoa wapi ujasili wa kumuita muumbaji ni mbinafsi?
2. Uhuru wa kumuita muumba mbinasfi umeutoa wapi?
3. Hiki kiburi cha kumuita muumbaji mbinafsi unatoa wapi?

NB: Ndugu muandishi binadamu wote hatujakamilika yaani tunamapungufu ispokua muumba peke yeke, kutoa maon haukatazwi ila kuwa na mipaka na hapa ndio utawaona WAISLAM ni wabinafsi [emoji26][emoji26][emoji26]
 
Hao ni wapumbavu mkuu.

Wao waislamu wanakula usiku kucha.

Wakristo wanakula mchana hapo kuna shida gani?????

WAISLAMU WANASHINDA NA NJAA MCHANA USIKU WANAKULA.
WANABADIRI RATIBA YA CHAKULA NA SIO KUFUNGA.
 
usichukue aya moja ukaleta hapa kuthibitisha msemo wako. Hiyo aya ina sababu zake kwa nini ilisemwa hivyo, na ni wakati gani ilisemwa hivyo (yaani huna background information kwa nini aya hiyo imesema hivo)
Mkuu mpaka naileta naijua..
Na mpaka naweka najua..
So ameuliza Aya hakutaka uchambuzi wa Qurani..
Maaan hata uchambuzi pia ninaweza kutoa
 
Uhalifu mbona upo mwingi tuh,sema mmeachwa muendelee kufanyiwa,wewe toka lini kuuziwa mchanga wa upako na mwamposa kusiwe uhalifu wa kidini?

Biashara tangu lini ikawa uhalifu?
Unajua maana ya uhalifu?
Biashara Katika dini hata kwenye uislamu ipo. Ndio maana kuna zaka na sadaka ambayo ni biashara ndani ya Dini.
 
Huo ni ukweli 100%
Quran 5:51 (Suratul Maida aya ya 5)
View attachment 2947947
Exactly,by the time Qur an inashuka waislam walikuwa wachache na watu ambao walikuwa wanapigwa vita sana,ya wazi na ya Siri...so wayahudi na makafiri wengine hawakuwa radhi kuona watu wanasilimu Kwa wingi na kuufuata uislam, kwahiyo walikuwa wanafanyiwa visa vingi...unaweza mfanya vipi adui kuwa RAFIKI?

Hata kwa Sasa,makafiri wengi mioyoni mwao hawawapendi waislam,dunian kote,Sasa MTU ambae hakupendi utamfanya vipi kuwa RAFIKI...
 
Exactly,by the time Qur an inashuka waislam walikuwa wachache na watu ambao walikuwa wanapigwa vita sana,ya wazi na ya Siri...so wayahudi na makafiri wengine hawakuwa radhi kuona watu wanasilimu Kwa wingi na kuufuata uislam, kwahiyo walikuwa wanafanyiwa visa vingi...unaweza mfanya vipi adui kuwa RAFIKI?

Hata kwa Sasa,makafiri wengi mioyoni mwao hawawapendi waislam,dunian kote,Sasa MTU ambae hakupendi utamfanya vipi kuwa RAFIKI...

Acha uongo. Uyahudi na ukristo haukuwahi kuwa kikwazo nyakati za mwanzoni mwaka uislamu.
Bila ukristo na Uyahudi hakuna Uislamu.
 
usichukue aya moja ukaleta hapa kuthibitisha msemo wako. Hiyo aya ina sababu zake kwa nini ilisemwa hivyo, na ni wakati gani ilisemwa hivyo (yaani huna background information kwa nini aya hiyo imesema hivo)
Ebu tueleweshe wewe uliyeelewa walikua wanamaanisha nini?vinginevyo kapikie bwana ako futar mapema kabla hajakuongezea mke wa nne.
 
Mkuu mpaka naileta naijua..
Na mpaka naweka najua..
So ameuliza Aya hakutaka uchambuzi wa Qurani..
Maaan hata uchambuzi pia ninaweza kutoa

Ni kweli Kwan uongo?mfano jiulize moyoni mwako,wewe unampenda muislam?ni wazi kbs hata wewe mwenyewe ni shahidi kuwa una chuki na Uislam,qur an inachotueleza ni kwamba most of you mnatuchukia sisi waislam bila kosa lolote,kosa letu ni KUTAMKA kuwa hakuna Mungu anapaswa kuabudiwa isipokuwa Mungu Mmoja Muumba wa mbingu na ardhi,nyinyi Hiko hamtaki na mna kinyongo na sisi,so qur an inatupa tahadhari tusiwanye kuwa ni wasiri wetu,kwani mliliyoyaficha vifuani mwenu ni vizito.
 
Exactly,by the time Qur an inashuka waislam walikuwa wachache na watu ambao walikuwa wanapigwa vita sana,ya wazi na ya Siri...so wayahudi na makafiri wengine hawakuwa radhi kuona watu wanasilimu Kwa wingi na kuufuata uislam, kwahiyo walikuwa wanafanyiwa visa vingi...unaweza mfanya vipi adui kuwa RAFIKI?

Hata kwa Sasa,makafiri wengi mioyoni mwao hawawapendi waislam,dunian kote,Sasa MTU ambae hakupendi utamfanya vipi kuwa RAFIKI...
UNajua kwanini Hiyo aya imeanza na "Ya ayyuhallazina amanu (in arabic: يَٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُو) ???

Suratul Maida imeshuka mwishoni mwa Mwaka wa 6 Hijririya mpaka mwanzoni mwa 7 A.H..

Kipindi cha Mkataba wa Hudaibiya Kipindi hicho kulikuwa na Idadi ya kutosha ya Uislamu huko Madina..

Na kipindi ambacho hakukuwa na waislamu wa Kutosha (Nazungumzia Makka)..

M/Mungu alitumia Lugha ya ayyuhannasu na sio hiyo alotumia hapo
 
Ni kweli Kwan uongo?mfano jiulize moyoni mwako,wewe unampenda muislam?ni wazi kbs hata wewe mwenyewe ni shahidi kuwa una chuki na Uislam,qur an inachotueleza ni kwamba most of you mnatuchukia sisi waislam bila kosa lolote,kosa letu ni KUTAMKA kuwa hakuna Mungu anapaswa kuabudiwa isipokuwa Mungu Mmoja Muumba wa mbingu na ardhi,nyinyi Hiko hamtaki na mna kinyongo na sisi,so qur an inatupa tahadhari tusiwanye kuwa ni wasiri wetu,kwani mliliyoyaficha vifuani mwenu ni vizito.

Hizo ni hisia zenu na kutokujiamini kwenu, Uduni.
Hakuna anayewachukia Waislamu isipokuwa tabia yao ya kutaka kuleta ubinafsi na Watu waone kama wanavyoona wao.
 
Ebu tueleweshe wewe uliyeelewa walikua wanamaanisha nini?vinginevyo kapikie bwana ako futar mapema kabla hajakuongezea mke wa nne.

Alichomaanisha ni kuwa Qur an siyo mahubiri ya mwamposa,Aya Moja ni muendelezo wa Aya nyingine,haijaishia hapo tuh alipooshia.

Hata hivyo Qur an ilichofanya ni kutupa uelewa sisi waislam kuwa makafiri by nature hawatupendi na Wana chuki na sisi waislam, kwahiyo tukae nao Kwa UMAKINI na tusiwafanye kuwa ni wandani wetu au washirika wa kuwapa siri zetu...na bila shaka Qur an Iko sahihi katika Hilo.
 
Ni kweli Kwan uongo?mfano jiulize moyoni mwako,wewe unampenda muislam?ni wazi kbs hata wewe mwenyewe ni shahidi kuwa una chuki na Uislam,qur an inachotueleza ni kwamba most of you mnatuchukia sisi waislam bila kosa lolote,kosa letu ni KUTAMKA kuwa hakuna Mungu anapaswa kuabudiwa isipokuwa Mungu Mmoja Muumba wa mbingu na ardhi,nyinyi Hiko hamtaki na mna kinyongo na sisi,so qur an inatupa tahadhari tusiwanye kuwa ni wasiri wetu,kwani mliliyoyaficha vifuani mwenu ni vizito.
Mkuu Mimi as Ex-Muslim, Ex-Christian, and Ex-Judaism..

Nasema kuwa Sina chuki na Yoyote kati ya hao..
Ilikuwa ni mapito mazuri sana ya kujifunza upendo
 
Ndugu muandishi haya tuambie UTAMKOSOA NINI MUUMBAJI wewe ni dongo tu ambalo likitolewa pumzi halina thamani tena kwa mtu yoyote hata huyo mkeo hatokubali kuwa karibu nawe tena, pumzi isikutie kiburi na kuvuka mipaka ndugu.
 
UNajua kwanini Hiyo aya imeanza na "Ya ayyuhallazina amanu (in arabic: يَٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُو

Suratul Maida imeshuka mwishoni mwa Mwaka wa 6 Hijririya mpaka mwanzoni mwa 7 A.H..

Kipindi cha Mkataba wa Hudaibiya Kipindi hicho kulikuwa na Idadi ya kutosha ya Uislamu huko Madina..

Na kipindi ambacho hakukuwa na waislamu wa Kutosha (Nazungumzia Makka)..

M/Mungu alitumia Lugha ya ayyuhannasu na sio hiyo alotumia hapo
''yaa ayyyuhallazina amanu'',,ni sahihi tuh kutumia hapo,na Wala siyo hoja ya kuweka kikao,ni enyi mlioamini msije kuwafanya hawa makafiri kuwa RAFIKI zenu,kwakuwa wapo watu walikuwa wanajifanya wameamini,lakini Kwa upande mwingine ni wanafiki wanashirikiana na makafiri kuwamaliza waislam.

Wakiwa pamoja na waislam wanasema sisi tumeamini,baadae wakitoka wakiwa na makafiri wenzao wanasema sisi hatujaamini Wala Nini,yaani tuamini kama wanavyoamini wale wendawazimu Kuwa eti Mungu ni Mmoja?sisi tunawacheza shere tuh,tunawachora tuh wale waislam,so Hali ilikua ni hivyo,sisi waislam tunapaswa kutowafanya makafiri kuwa washirika au tunatakiwa kukaa na nyinyi Kwa akili Kwa kuwa tunajua njyinyi mnatuchukia.
 
Alichomaanisha ni kuwa Qur an siyo mahubiri ya mwamposa,Aya Moja ni muendelezo wa Aya nyingine,haijaishia hapo tuh alipooshia.

Hata hivyo Qur an ilichofanya ni kutupa uelewa sisi waislam kuwa makafiri by nature hawatupendi na Wana chuki na sisi waislam, kwahiyo tukae nao Kwa UMAKINI na tusiwafanye kuwa ni wandani wetu au washirika wa kuwapa siri zetu...na bila shaka Qur an Iko sahihi katika Hilo.
We familia yenu yote ni waislamu,hamjachangamana na makafiri na wapagani kabsa?
Nna wasiwasi sana hii dini imejaza ma physcopath na mnaongoza kwa kuwa na inferiority complex
Hata wee siku ukipata mpenyo uko tayari kuua wanaokuzunguka kwa vile sio waislam kama wewe.
No wonder juzi mmepiga risasi watu kule Russia huku mkijidai mmefunga na kufuturu damu za watu.Huku mnataja Allah Akhbar.Shame on you.
 
Ebu tueleweshe wewe uliyeelewa walikua wanamaanisha nini?vinginevyo kapikie bwana ako futar mapema kabla hajakuongezea mke wa nne.
mimi siyo mtaalamu lakini najua kuwa aya huwa zinafuatana kwa mantiki fulani, ndiyo mana nikasema aya moja tu haijitoshelezi kuleta maana kamili.

Na hiyo ya kuongezewa wake wengine wala siyo issue, kwani nyinyi si kila siku humu munajisifu muna side chicks wangapi, tena wengine michepuo ndiyo wanayoishughulikia zaidi kuliko hata hao wake zao. Halafu munachukua hata hao watoto wa michepuo kumpelekea mke nyumbani ati amlee, he! bila ya aibu kabisa.
 
Back
Top Bottom