Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika

Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika

Kuishi UAE kama 'bekitatu' huwezi kujua lolote.
Sawa punga wa mudii, maana kila anayekaa UAE ni beki tatu au kwa vile umezoea dada zako wanaosha makalio ya waarabu unadhani kila aliyekaa huko anafanya shughuli hizo eh
 
Kwamba eti ni kosa kwa mkristo ambaye hahusiki na Imani ya mtu mwingine aliyeamua kubadilisha muda wa kula. Eboo!

Kumchapa viboko mtu mzima kwasabb za kidini ni ugaidi wa kidini. Ugaidi wa kidini ni mbaya sana. Utatuletea shida. Siku wakristo wakiamua kulipa kisasi itakuwa kama Mali ambako Seleka na Antibaraka waliibuka kwasabb za kijinga kama hizi.
 
mbona mnakuza mambo pumbavu nyinyi...

kwani mambo hayo zanzibar yameanza leo?

heb tafuta maelezo ya Mizengo Pinda kipindi akiwa waziri mkuu aliulizwa na mbunge wakiwa bungeni kuhusu suala la watu kula mchana zanzibar.

unajua alijib nini? na yule ni mkatoliki safi. acheni kupotosha watu, ukienda kwa wenye chongo na wewe ziba jicho lako. ukienda Roma ishi kama waroma.
 
Kwamba eti ni kosa kwa mkristo ambaye hahusiki na Imani ya mtu mwingine aliyeamua kubadilisha muda wa kula. Eboo!

Kumchapa viboko mtu mzima kwasabb za kidini ni ugaidi wa kidini. Ugaidi wa kidini ni mbaya sana. Utatuletea shida. Siku wakristo wakiamua kulipa kisasi itakuwa kama Mali ambako Seleka na Antibaraka waliibuka kwasabb za kijinga kama hizi.
Siyo nchini Mali, ni nchi ya Afrika ya Kati (CAR)
 
Hizi Nchi Ni Mbili tofauti kimfumo wa serikali na Utendaji ingawa tunasema Ni Nchi Moja.
Mimi kwa Mtazamo wangu, Zanzibar Ni Nchi Nyingine Mifumo yauendeshaji wa serikali na Muundo wa Utendaji usifananishe na Tanzania Bara.
Na Kuna siku niliwaza kua Kuna umuhimu wa watu Kupata Elimu mi nimewai kwenda Zanzibar kipindi Cha Ramadhani, niliona utofauti.(Kufuata sheria za sehemu usika) Unapokua sehemu za watu fuata sheria za sehemu usika, ukiona hauziwezi jitengenao.
 
Acha uongo wew mtu mzima hawezi kuchapwa kwasababu za kidini alafu serikali kiademocrasia ikae kimya,. serikali yetu hawezi kufumbia macho udhaarishaaji na ubaguzi.Habari hii ya kupika
 
Serikali ingesikia kilio hiki. Hata yaliyotokea huko duniani hayakuanzia kwenye tukio. Yalianzia kama malalamiko madogo madogo. Watu wamechoka. Wanaanzaga kidogo kidogo.
 
mbona mnakuza mambo pumbavu nyinyi...

kwani mambo hayo zanzibar yameanza leo?

heb tafuta maelezo ya Mizengo Pinda kipindi akiwa waziri mkuu aliulizwa na mbunge wakiwa bungeni kuhusu suala la watu kula mchana zanzibar.

unajua alijib nini? na yule ni mkatoliki safi. acheni kupotosha watu, ukienda kwa wenye chongo na wewe ziba jicho lako. ukienda Roma ishi kama waroma.
Sema mnajibu kwa aibu sana yani
 
Sawa punga wa mudii, maana kila anayekaa UAE ni beki tatu au kwa vile umezoea dada zako wanaosha makalio ya waarabu unadhani kila aliyekaa huko anafanya shughuli hizo eh
Mnaanziaga bekitatu kisha mnahamishiwa kwenye madangulo, bado tu haitoshi kujua lolote.
 
Mbona haijatokea gharika Tanganyika ambako wenye macho mekundu wanauliwa, au maalibino kukatwa viungo vya mwili na watu kuchunywa ngozi!!!????

Au katiba ya TZ inaruhusu haya? Na mbona hauyashangai haya na badala yake unakuja kushangaa watu wanaopigwa bakora ZNZ kwa kosa LA kula mchana wa mwezi wa Ramadhani!!??? Acha unafiki name kumbuka hicho kitabu chako unachokifuata kinasema ukitaka kutoa kibenza kwenye jicho la mwenzako basi anzia kutoa boriti kwenye jicho lako

Lakini sikushangai sana maana mfumo kristo ndivyo ulivyokulea kulifanya kubwa lolote lile ambalo waislamu watalifanya name kuliona dogo lolote lile ambalo wakristo watalifanya hata kama ni mapdri kulawiti watoto
Naunga hoja kwa%
 
Leo Waislamu wa Zanzibar wanawavamia na kuwapiga vibaya Wazanzibar wenzao ambao sio Waislamu kwakuwa tu wanakula kwa mama lishe mchana mda ambao wale waislamu wanakuwa wamefunga.

Vipigo vimeenea kila kona ya mji wa Zanzibar na uhasama unakua kila kukicha, serikali ipo kwenye mfungo mtukufu, Wakristo hawa Wazanzibar hawana msaada, nani awaokoe vijana wa kikikristu ambao hawajao wanaotegemea kwa mama lishe na migahawani kupata mlo wao nao wafunge?
Nasikia hata facebook wameiblock kitaifa
 
Back
Top Bottom