Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,052
- 7,375
Hii sio sababu ya kumefanya mtu akatae hiyo kazi. Mkuu hali ya maisha inatofautiana sana. Kuna watu wankimbia masimango na kuishi maisha yoyote bila kujali self investing Wala nguvu anayotumia
Cheap labour mda mwingine wanazalishwa na migongani katika familia hasahasa zile advanced marginalized, zenye sifa ya umaskin wa kutupwa na kukosa wasomi. Hili janga root cause yake ni hiyo.. that's good assumption kama utatumia nadharia flanflani hiv
Talking always so cheapKuna njia nyingi za kuishi
Maana hata ukabeba viloba miaka 100 huwezi kuikamata hata mil 1
Kuna namna za kuishi mjini , hiyo kugeuzwa msukule inaonesha something wrong on ur mind.
Self-investment ni muhimu in this life.
Ni kweli mkuu.wewe uliwashauri?Upo sahihi.
Unaweza kuwa haujasoma na hauna Elimu ,Ila ukiamua kuiseti Akili vizuri lazima utaona mwanga.
Wale vijana viwandani wanachohitaji kwa sasa hivi sio PESA Ila they need someone who can unlock their minds
Kila MTU anahitaji PESA ila pesa hata ukipata if something wrong on ur mind you will end up being broke with an endless hustles
So kabla hatujawalumu wamiliki wa viwanda tunbidi sisi wenyewe tujiulize je sisi hapa duniani tumekuja kuwa wabeba viloba vya unga?.
Mkuu ,nimefanya Sana kazi za nguvu naelewa usipopata MTU wa kuifungua Akili yako utajikuta unapoteza muda na unatoka umeharibika mwili na Akili.
Nchi haina fursa za kutosha Ila hiyo pekee sio sababu ya kwenda kuwa mtuma there's a lot things to do.
Sure mambo kwa ground ni magumu.Talking always so cheap
Instead kuandika theories hapa ingekuwa vizuri ukaweka hizo njia hapa
Tatizo lako umeathirika kwa uchawa na mtu akisema ukweli ukweli unaona ni matusi. Lile shungi siyo la dini, ni unafki. Huwezi kuacha kusaidia wanawake wenzako wanaokufa kwa kukosa sh laki moja ya kujifungilia na unakwenda kununua saa ya sh milioni 100. Huwezi kufukuza wamasai na wengine kufa ili tu uwape watu wachache eneo. Halafu nimesema wananchi ndiyo wanatakiwa wawe wakali na siyo tu kubadilisha chama. Hata hii CCM inaweza kuwa nzuri iwapo sisi wananchi tutakuwa wakali na ikibidi tukinukishe kama hawataku kufuata matakwa yetu. BTW kama unaona uko level moja na Kenya kiuongozi pole sana. Sikulaumu kwani najua ni uwezo wa kichwa chako. Na mwisho mwambie rais awe na adabu kwa sisi raia wenye nchi.Kuwa na adabu kwa Rais wa nchi. Mabadiliko hayaletwi kwa matusi. Kukinukisha sio suluhisho la matatizo kama mfumo utaendelea kuwa uleule. Kenya wanabadili vyama tawala kila mara ila mambo ni yaleyale... Zambia ndo wakali wa kubadili vyama ila wananchi wana shida afadhali ya sisi... unaitoa CCM unaiweka CHADEMA ambayo viongozi wake wanachangishana mamilioni kumzawadia Askofu mstaafu V8 huku chama kikiwa dhoofu kiuchumi??!!! Kwa sasa tutaendelea na CCM hadi pale mbadala wake utakapokuwepo.
Afanaleki umenikumbusha mbali ,mwalimu wangu wa hisabati .Ka mfano ka rahisi kweli .Swali linakuja kwa mfumo wa desimali au sehemu.Nikala F yangu moja saaafi.duh!,elfu nne?,,au umekosea desimali mkuu?
Kind of theoriesSure mambo kwa ground ni magumu.
Ndomaana namuliza alivokaa nao alifanikiwa ku unlock mind zao?
Hao vijana watakuibia vifaa vyote vya hiyo irrigation scheme. Bora hizo hela wale kivyao tu.Hayo mahela wangewekeza kwenye Irrigation Schemes vijana wako tayari kufaya kazi zenye tija
Kwanini? Kwani hakuna usimamizi?Hao vijana watakuibia vifaa vyote vya hiyo irrigation scheme. Bora hizo hela wale kivyao tu.
The whole truth.....ambayo waliokwisha fanikiwa huwa wanaziba maskio.Kind of theories
Ku-unlock akili huku huna hat 100 utafanya nini na hip akili uliyo unlock, talking like tuna pretend kujifanya hatujui mtaji hakuna....You need initial money to move, hizo pesa hupati kwa akili yako kuwa unlocked.
Hakuna strategies zinahitajika za maandishi....vijana wanataka kazi zenye tija.....wapewe.Vijana wanaokubali kufanya kazi za kitumwa wamefungwa Akili
Nimetembelea hapo kwa bakhressa Buguruni nimekaa na hao vijana
Jibu ni kuwa akili zao zipo locked
Doesn't make sense kijana Energetic akabebe viloba vya ngano morning to evening then umpe elfu nne
Ukifanikiwa kuifunga akili ya MTU unakuwa umetoa uhai tayari.
Tusilaumu wahindi Ila tutoe strategies nini tufanye kuwaokoa vijana
Vijana wa aina yako huwa mnaishia jela au kwenye rehab centres kwa bangi mnazovuta. Hiyo approach yako ni ya kipumbavu na ni kinyume na sheria. Hebu jaribu kuonyesha mfano kisha tukufuate kama kweli unamaanisha unachosema...Tatizo lako umeathirika kwa uchawa na mtu akisema ukweli ukweli unaona ni matusi. Lile shungi siyo la dini, ni unafki. Huwezi kuacha kusaidia wanawake wenzako wanaokufa kwa kukosa sh laki moja ya kujifungilia na unakwenda kununua saa ya sh milioni 100. Huwezi kufukuza wamasai na wengine kufa ili tu uwape watu wachache eneo. Halafu nimesema wananchi ndiyo wanatakiwa wawe wakali na siyo tu kubadilisha chama. Hata hii CCM inaweza kuwa nzuri iwapo sisi wananchi tutakuwa wakali na ikibidi tukinukishe kama hawataku kufuata matakwa yetu. BTW kama unaona uko level moja na Kenya kiuongozi pole sana. Sikulaumu kwani najua ni uwezo wa kichwa chako. Na mwisho mwambie rais awe na adabu kwa sisi raia wenye nchi.
Kwel kbs.. tuwe grateful.. mtu kwa mwez anaingiz elf 80.. just imagineNi kushukuru Mungu kwa kweli kwa kutupa izi ajira.Una Bima ya afya,loan unaweza pata pia mahitaji daily ni uhakika japo tunaona ni kidogo.
Nyingi ivo nipo bar hapa napiga story na barmaid nikamgusia boss anawalipa salary shingap?Kwel kbs.. tuwe grateful.. mtu kwa mwez anaingiz elf 80.. just imagine
Kwel kbs.. tuwe grateful.. mtu kwa mwez anaingiz elf 80.. just imagine