Palee ni pabayaa hatari, ikitokea ajari ni kilio nchi nzima.Hakika mkuu,pale kwa msuguri round about kama unatokea bochi hospital kona ya kuingilia mbezi,bajaj na boda boda zimegeuza kituo,na wamachinga wameanza kuweka meza zao barabarani kabisa,so ukiwa unatokea bochi kuingia moro road inabidi utoke nje ya barabara kuwakwepa wao,siku ikitokea ajali pale mamlaka ndio zitashtuka
Boda boda si ndo wako pembezoni ya barabara. Ni rahisi kufikiwa.Alafu haya malori kila yakiacha njia breki ni Kwa bodaboda sijui Yana ugomvi gani na bodaboda
hiyo hadi mmarekani aje tenaHivi hakuna uwezekano wa kuchonga barabata ipite huko pugu pembezon mwa reli ikatokee morogoro huko...ili malori yawe yanapita huko jamano...
Ipo inayotokea Gongolambota hadi Kibaha Kongowe, awamu ya Kikwete kulikuwa na mpango wa kuiboresha magari makubwa yapitie huko kupunguza foleni. Kama unavyojua mkuu, nchi hii "vilongwa mbali vitendwa mbali'. Upembuzi na michakato then jiiiii.Hivi hakuna uwezekano wa kuchonga barabata ipite huko pugu pembezon mwa reli ikatokee morogoro huko...ili malori yawe yanapita huko jamano...
Ni balaa ikifika jioni. ile barabara ya kushuka chini huo msongamano wa magari, bajaji, boda, raia na magenge ya bidhaa unajiuliza wanunuzi wanasimamaje bila kufyekwa makalio.Ukifika mbezi mwisho kwenyewe ndio hatari zaidi
Mida ya jioni ni pale vurugu mechi zaidi ya kkoo,madereva wa boda na bajaj na wamachinga mida sheria inakua juu yao,usiwazingue kabisaNi balaa ikifika jioni. ile barabara ya kushuka chini huo msongamano wa magari, bajaji, boda, raia na magenge ya bidhaa unajiuliza wanunuzi wanasimamaje bila kufyekwa makalio.
Pole yao sana wafiwa na wahanga...