Huyu mwenyekiti Pandu ni mtu muungwana sana tena sana. Tatizo anaongoza watu ambao hawana maadili na wengi wao hawajui ni kwa nini wakobpalr mjengoni. Bila shaka Sam Six atawaweza. Myu unaweza kudhani kuwa wengi wao hawajawahi kuona mlango wa darasa. Wengine wanafanya upuzi ili waonekane kwenye TV pasipokujua wanakera huku tukikumbuka kwa usanii wanaofanya wanalipwanlaki 3. Hovyo kabisa.Binafsi nilikuwa sijawahi kumuona Mh. Pandu Kificho akiongoza mkutano wowote. Kutoka moyoni,hakuna spika mwenye hekima,busara,uvumilivu na upendo niliyewahi kumuona katika umri wangu kama Kificho. Kinachotokea bungeni {utovu wa nidhamu kwa baadhi ya wabunge} ni malezi ya hovyo {sio ovyo} waliyopata wabunge wetu toka kwa walezi wao. Mnaokataa kataeni habari ndiyo hiyo. Tutegemeeni siku 150 wakiwa bungeni kwa sababu tu ya utovu na ukosefu wa hekima. Nimekuwa nasema elimu na hekima ni vitu tofauti kabisa.
Kwani waligombana au kupigana?Wadau, katika hali inayotoa muelekeo mzuri, mvutano uliojitokeza leo asubuhi baina ya Christopher Ole Sendeka, Mbunge wa Simanjiro na Waziri wa Katiba na Sheria wa Zanzibar, Abubakar Hamisi Bakari, umemalizika kwa wawili hao kupatana na kuzika tofauti zao. Pongezi ziende kwa waliosuluhisha mgogoro huo wakiwemo James Mbatia, Mwenyekiti wa NCCR MAGEUZI, Prof Mark Mwandosya na wengineo.
Wait a minute Chabruma
Kwani was this a mano-a-mano issue? was it drawn to personal level carrying grudges and blames?
I thought pipo were talking and discussing about kanuni, sasa hili la kuelewana na kuzika tofauti latoka wapi?
kama wana ugomvi binafsi sawa lkn kama ni kutofautiana kwa hoja sioni mantiki ya kusema wamepatana
Kulitokea nini mkuu, tujuze wengine tuko mbali na TV..
Kwani waligombana au kupigana?
Bunge maalumu la katiba limeanza vizuri Jioni hii,..
Hayo unasema wewe. Cha muhimu hapa ni kuwa mvutano umeisha na wana ari ya kuendelea na kazi iliyo mbele yaoWamepatana kinafiki tu.