frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,098
- 1,339
argue dont shout!
Kwa kizungu hicho sasa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
argue dont shout!
Pole sana mkuu.Maneno gani wengine hatujajua nini kimetokea
Nalog off
Hama kweli humu ndani ya jf mazuzu wapo wengo tena zaidi ya zuzu zito kaongea bila kujali itkadi za vyama au kubaguwa mtu hata yy akiwemo zuzu anajitokeza anaingiza maswala ya vyama sijui chama chake kipya. Ukitaka tuingize maswala ya vyama cdm yenu wabunge wenu wamefanya ni humo zaidi ya kelele na wao ndio wanafanya mambo hadi bunge linaonekana alina mahana na wahuni mwambieni mbowe na vitoto vyake viache kelele
Nashukuru Mungu nimeacha kufuatilia bunge la katiba hadi huu upuuzi wa kanuni uishe.source wall ya zitto
Haya ni maneno yaliyoandikwa na zitto kwenye wall yake ya FB hivi ni kweli bunge maalum linajadili upuuzi kwenye kanuni kama zitto alivyoona tutafakari maneno haya kwa kina na tujadili