Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,053
- 3,259
Mwenyekiti kajibu hoja .. kwa kusema kua , anaowapa nafasi ni wale waliopendekeza majina na hoja ya mabadiliko kwake kabla ya kikao.. otherwise hana mahali pakutoa wajumbe wa kuchangia .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatafuta umaarufu usio na faida.
Kajamaa kanajisikia sana.Kapuuzi
Huo ndiyo ukweli wanaochangia ndiyo waliomba kuchangia kama mjumbe hakuomba hakuna namna.Mwenyekiti kajibu hoja .. kwa kusema kua , anaowapa nafasi ni wale waliopendekeza majina na hoja ya mabadiliko kwake kabla ya kikao.. otherwise hana mahali pakutoa wajumbe wa kuchangia .
Nafasi za kuchangia ziko wazi hawaombi mkuu wanaochangia wameomba nafasi hizo ndiyo maana unaona wanachangia.
yeye ndo mpuuzi kukimbilia mahakamani ili apate posho na ni mpuuzi kweli kwa kujifanya hajui issue ya IPTLwakati mgao kapata shame on you
Mwenyekiti kajibu hoja .. kwa kusema kua , anaowapa nafasi ni wale waliopendekeza majina na hoja ya mabadiliko kwake kabla ya kikao.. otherwise hana mahali pakutoa wajumbe wa kuchangia .
Huo ndiyo ukweli wanaochangia ndiyo waliomba kuchangia kama mjumbe hakuomba hakuna namna.
Nafasi za kuchangia ziko wazi hawaombi mkuu wanaochangia wameomba nafasi hizo ndiyo maana unaona wanachangia.
Wamepewa mapendekezo ya mabadiliko na makundi yao ili wayazungumzie.Kiukweli naona kuna watu wamehodhi bunge hili!utasikia Oluochi,Umy mwalimu,Olesendeka,Mnyika,Machali,Serukamba.kuna nini hapa kama sio upendeleo!taasisi nyingine ziko wapi,hazina wawakilishi?Naomba kuwasilisha.
Ni kweli tena sio tu watu maarufu bali pia wanaofahamika kuwa na vijisenti.
Anatafuta umaarufu usio na faida.