Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupeni updates wadau..
Umefanya quotation ya wapi ambapo wamesema Olesendeka Ana mashetani? Please. Kuwa na staha Kwa watu.Baadhi ya wachangiaji wametaka kabla ya bunge hilo kuanza na kumaliza basi iwe kwa dua ili wale wenye mashetani akina Olesendeka mashetani hayo yaweze kuondoka vichwani mwao., waislam na wakiristo wataomba kwa dini zao. TBc Live
Mkuu hayo maombi yatahusu na wale wenye matatizo ya akili kama fulani?Baadhi ya wachangiaji wametaka kabla ya bunge hilo kuanza na kumaliza basi iwe kwa dua ili wale wenye mashetani akina Olesendeka mashetani hayo yaweze kuondoka vichwani mwao., waislam na wakiristo wataomba kwa dini zao. TBc Live
Kwa kweli kwenye ile Bil 8 za karabati wa viti,
ingetumika hata Bil 2 kukarabati bongo zao kwa kuwapa semina elekezi!!
kupotoshwa kwa habari mpaka ionekane na ijadiliwe athari zake na mamlaka husika, tusipokuwa makini tunaweza kubana uhuru wa waandishi wa habari.Kwa nini mkuu unatetea mwandishi kuandika habari zilizopotoshwa halafu unafurahia na kushangilia uko sawa kweli mkuu.
Haya mabunge, hakuna tofauti na watoto wa darasa la kwanza
Edit,weka chekechea.