Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muongo.Tujuzeni mlio karibu na tukio
Teh teh teh..... Kuna mmoja alikua anakanusha issue ya Makonda akidai yupo "mjengoni hakuna kitu kama hicho"....wana JF wanashindwa kuelewa kuwa miongoni mwa wajumbe kuna kina MSALANI,MINGOI,SIMIYU YETU nk
Wana practise SIASA.....FWatanzania maneno mingi, hata katika mambo ya msingi bado ujanja ujanja haukosekani..............
Hii Nchi imekuwa ya kisanii sana, nashangaa hatukuwemo kwenye tuzo za Oscar.
Ndivyo mchangiaji aliemaliza punde alivyosema katika Bunge hili la katiba waandishi wa habari ambao ni Makanjanja wasipewe nafasi na wanyimwe vibali vya kutoa taarifa za Bunge kule Dodoma wakati bunge linaendelea.,
Kwa hela wanayolipwa hata wakikesha ni sawa.
I don't even remember the moment that I was a Zitto fun in my life....... not even once......... and i think I have never been and I'll never be, for God's sake.nyinyi ndio mmempotosha Zitto na kujikuta hapo alipo,
I don't think soHe always has.
Hawa jamaa wanakera sana!!! Utadhani mijitu mingine imeokotwa vijiweni tuuu!!! So sad, hasa ukizingatia uzito na umuhimu wa kazi walliyopewa......
Ndivyo mchangiaji aliemaliza punde alivyosema katika Bunge hili la katiba waandishi wa habari ambao ni Makanjanja wasipewe nafasi na wanyimwe vibali vya kutoa taarifa za Bunge kule Dodoma wakati bunge linaendelea.,