Ni Pandu huyuhuyu aliesimamia yale mabadiliko maarufu ya Katiba ya Zanzibar ambayo kwa kiasi kikubwa ndio yaliyochagiza mchakato huu wa sasa wa KATIBA mpya. Sifa mnazompa Pandu huyu wala hazimstahili. Keshakuwa "senile".
Saa hii wamerudi tena wanajidai kuelewana.
Saa hii wamerudi tena wanajidai kuelewana.