Yanayojiri Bunge la Katiba Dodoma leo 06/03/2014

Yanayojiri Bunge la Katiba Dodoma leo 06/03/2014

Bunge hili linadhalilisha na kuchefua zaidi! Watu wameweka uchama mbele badala ya maslahi ya taifa. Nidhamu ni msamiati katika bunge hilo, maccm wengi wametanguliza zaidi maslahi ya chama!

wale walafi wa posho wakakimbilia posho na kuvaa miwani ya mbao wakijidai kutakasa uchafu kuwa usafi ndo matokeo yake haya,bamia hawezi kuzaa ubuyu.
 
Ok pia nawe wasilisha rambirambi za marehemu Mwangosi kwa mjane.

Ni neno la leo tu kaka

Kweli wewe ni POMPO hadi kwenye mambo ya msingi unaleta upompo wako, wewe umekuwa msemaji wa mjane wa mwangosi?
 
Kwa kweli nimesikitishwa na sana na vurugu zilizo jiri mchana huu, na kupelekea Bunge kusitishwa mpaka jioni, ninaimani hiyo jioni hakuna la maana ambalo watalifanya zaidi ya mipasho yao
kweli WATUUNZANIA WANATUNGA KATIBA YA WATANZANIA
 
Leo kanikela sana ndio chanzo cha bunge kuhailishwa... eti ana mapigo ya kutisha, naona makelele tu na kurudia hoja za wenzake ndio mapigo....

Malliya ajiandae vizuri ammungoe 2015,
 
Imefika wakati sasa niombe Msaada wa CV ya Ole Sendeka kabla sijatoa ya Moyoni kwanza.
Kwa kifupi nimeanza kumfuatilia Ole Sendeka kutoka kipindi kile cha Sakata la Richmond kwa michango yake iliyokuwa katika Mlengo wa Kati lakini kwa yanayoendelea leo Bungeni imenibidi niombe Msaada wa CV ikizingatia mambo yafuatayo.
1. Amesoma wapi Primary, Sekondari, Chuo na Proffesional yake pamoja na kazi yake ya kwanza kufanya.
2. Pia na uzoefu wake katika kazi hizo.
Naomba kuwasilisha.

Mkuu angalia cv yake, google Ole sendeka. Utapata.. Elimu yake ni ndogo.
 
Wadau,
Tafran alioanzisha bwana Sendeka haivumiliki, sikutarajia mtu makin kama yeye eti amesema yale kwa bahati mbaya na hii inaonesha kwamba alidhamiria kuchafua hali ya hewa. Nasema kwa msisitizo OLE SENDEKA wajibika. Kwa vurugu hizi ulizosababisha tafadhali JIUZULU UJUMBE WA BUNGE LA KATIBA.

Nawasilisha.
 
Nashukuru Mungu nimeacha kufuatilia bunge la katiba hadi huu upuuzi wa kanuni uishe.source wall ya zitto

Haya ni maneno yaliyoandikwa na zitto kwenye wall yake ya FB hivi ni kweli bunge maalum linajadili upuuzi kwenye kanuni kama zitto alivyoona tutafakari maneno haya kwa kina na tujadili
 
Aliyasema yapi hayo, jaribu kufafanua kidogo.
 
We toa tu kwani kashifa inaua rais jk amekashifiwa sana lakini hadi leo anaongoza taifa vema kabisa.
 
Back
Top Bottom