Yanayojiri Bunge la Katiba Dodoma leo 06/03/2014

Yanayojiri Bunge la Katiba Dodoma leo 06/03/2014

Nimegundua wabunge wengi wa ccm hawasomi, bali wanachangia kwa hisia au ushabiki. Mhe. Ole Medeye ni aibu kabisaaaa. Ndio maana kuna matusi na kuzodoana kwa sababu mtu anachangia bila kusoma jambo husika!!!!
 
Kiboko ya wote ni Livingstone Lusinde, yeye anasema Tanganyika ndio nini maana ilikuwepo yeye hajazaliwa. Na kama Nyerere aliikataa basi wao ndio Nyerere wa kizazi hiki. Yaani ni aibu "kiazi" kama kile eti kipo kututengenezea katiba.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
ndugu wanajamvi,
ni ukweli usiopingika maadili ya wanajamii hapa tanzania yamekwesha kwa asilimia kubwa hususani kwenye swala la uvaaji wa nguo. Hasa wanawake hata kama ni kwenda na wakati ila inakera. Mimi napendekeza kwenye rasimu ya katiba kifungu hiki kiwekwe na sheria ipitishwe kuzuia uvaaji wa nusu uchi.
 
Wabunge wamekuwa kila mara wanapewa muda wa kupumzika ili wasome makabrasha wayaelewe yaliyomo. Ajabu kumbe hata hawasomi. Katika bunge hili tutajionea mengi. Haleluya!
 
Wabunge wamekuwa kila mara wanapewa muda wa kupumzika ili wasome makabrasha wayaelewe yaliyomo. Ajabu kumbe hata hawasomi. Katika bunge hili tutajionea mengi. Haleluya!
Mama Mdogo tumeshajionea tayari ni majanga matupu
 
Last edited by a moderator:
Wabunge wamekuwa kila mara wanapewa muda wa kupumzika ili wasome makabrasha wayaelewe yaliyomo. Ajabu kumbe hata hawasomi. Katika bunge hili tutajionea mengi. Haleluya!

Muda wanaopewa kwa ajili ya,kusoma wao wanakuwa chako ni chako wanatafuna bloiler na kutiririsha serengeti
 
Huyu Medeye ni mbunge wangu tunajuta afadhali tungekaa miaka 5 bila mbunge. Tunatamani 2015 ifike kesho. Hatuna maneno tunauma meno tu.
 
Pale aliposema kuusu kanuni ya mjumbe atakapofariki gharama anabeba nani..?
Kumbe kuna kanuni inasema kabisa kua bunge ndo litabeba gharama zote
Tundu lisu akamuumbua akasema mh mwenyekiti tumebewa vitabu ivi ili tuvisome na akamsomea sheria inasema vipi kuusu ilo swala

Kazi tunayo kweli. Utadhani aliibuka toka usingizini
 
Ukitaka kumficha mwafrika weka ujumbe kwenye maandisi hicho ndo kinachotokea kwenye bunge letu hawasomi hizo kanuni bali ni brabra nyingi ndo maana mwandosya aliwapa facts jana
 
kwa imani yangu ningependekeza Kificho aendelee kuwa spika wa bunge la katiba,kwa kweli Zanzibar wana kiongozi mwenye busara na hekima ya hali ya juu sana,huyu mzee ni miongoni mwa watu kama Shaban robert tunaowasoma kwenye vitabu,
 
Kiboko ya wote ni Livingstone Lusinde, yeye anasema Tanganyika ndio nini maana ilikuwepo yeye hajazaliwa. Na kama Nyerere aliikataa basi wao ndio Nyerere wa kizazi hiki. Yaani ni aibu "kiazi" kama kile eti kipo kututengenezea katiba.


Sent from my iPad using JamiiForums
Kweli mkuu. Hakuna kitu muhimu zaidi ya maoni ya wenye nchi.
Unautoa wapi uhalali wa hata kutetea muungano piga ua usivunjike bila maoni ya wenye nchi?
Mbara anakujibu: utaifa kwanza, tumeoleana.
Ina maana hawa watu wote ni wa pwani hata wasijue Kenya waliyoipiga vita kwenye muungano ina wajaluo, wamasai na wakurya wenzetu? Kwani nchi ikiwa sovereign ni lazima ichukiane na neighbor?
Eti Nyerere angekataa. Nyerere gani angekubali uvunjwaji wa katiba ya JMT 2010 huko Znz? Wajifunze kujenga hoja si kukariri
 
kwa imani yangu ningependekeza Kificho aendelee kuwa spika wa bunge la katiba,kwa kweli Zanzibar wana kiongozi mwenye busara na hekima ya hali ya juu sana,huyu mzee ni miongoni mwa watu kama Shaban robert tunaowasoma kwenye vitabu,
 
Leo mtoto hatumwi dukani.Leo, asiye na mwana aeleke jiwe.Leo,ukigeuka nyuma unakuwa jiwe la chumvi.Leo,macho mbele kama tochi. Leo,masikio na macho ni marafiki muhimu. Leo, kila kitu kina watu;wale wastaarabu na fyatu.Usisubiri kusimuliwa.Jionee au sikiliza mwenyewe leo.

Kwa nyaraka zilizopo,shughuli hiyo itakuwa jioni.Leo,Bunge la Katiba linafikia vifungu vya 37,38 na 39 vya Rasimu ya Kanuni za Bunge hilo ili kuvipitisha.Vifungu tajwa,pamoja na mambo mengine, vinazungumzia namna ya upigaji kura wa kupitisha Rasimu ya Katiba utakavyokuwa ndani ya Bunge hilo.Wapo wa KURA YA SIRI na KURA YA WAZI/DHAHIRI. Leo watajulikana vyema.

Lazima leo Bunge liamue kupitisha au kuviondosha vipengele hivyo vya Kanuni. Ni leo.Si kesho. Lakini, kupitisha SIRI au DHAHIRI kutafanywa kwa SIRI au DHAHIRI? Mwenyekiti wa muda ataongozwa na Kanuni au Taratibu zipi leo kuamua kuendesha kura za SIRI au DHAHIRI wakati itakapojitokeza haja ya kufanya hivyo? Leo kitaeleweka tu.Zege halilali!

KAZI IPO
 
Muungano ukiendelea mi ntajiua kuficha aibu kwa wajukuu zangu.

KWANINI ZANZIBAR WALIUNDA KATIBA YAO BILA KUTUSHIRIKISHA?
WHAT IS ZANZIBAR BY THE WAY?
HAYA MABO YATASABABISHA MACHAFUKO
NITAANZA MIMI!
 
Back
Top Bottom