Yanayojiri Bunge Maalum la Katiba leo Tarehe 7.3.2014.

Yanayojiri Bunge Maalum la Katiba leo Tarehe 7.3.2014.

Hao kina simiyu yetu wako wapi waliosema wanatatujuza kila kitu ??
 
Marehemu Profesa kighoma Ali Malima alikuwa akitumia chumba kimoja kwa ajili ya kuswali akiwa Wizara ya uchumi na Elimu kama sijakosea na kuitwa mdini na kusakamwa vikali na mfumo kristo! sasa unashauri wabunge wapewe ukumbi kwa ajili ya swala ya Ijumaa! jee, vitimbi vyenu vya kuwasakama na kuwasimanga Waislamu lini mmeamua kuacha?
Wameenda kuhiji huko bungeni au kutunga katiba hivyo lazima wajue priority za muda wao ziwe wapi, hakuna aliesema watu wasifanye ibada zao za wiki lakini wazingatie na kilichowapeleka kule na hela za walipa kodi; right now tanzanians are not getting value for their tax-money kwa mambo yanayo endelea kule dodoma.
 
Sina imani na simiyu yetu, ukereketwa wa chama ameuweka mbele sana badala ya maslahi ya taifa. Zaidi ya hayo hana uwezo wa uchambuzi na ufahamu wa mambo. Daima yupo kufuata upepo.
 
Tunasubiri waanze kazi sasa kwani blah blah zimezidi.
 
Sina imani na simiyu yetu, ukereketwa wa chama ameuweka mbele sana badala ya maslahi ya taifa. Zaidi ya hayo hana uwezo wa uchambuzi na ufahamu wa mambo. Daima yupo kufuata upepo.

Ahsante kwa kunisemea
 
Bunge liaze saa3 kamili nyinyi wajumbe mjue kodi zitu sisi walala hoi ndio zateketea mbona hamna uzalendo hapo hamkwenda kufanya starehe jamani wekeni mbele maslahi ya Taifa kwanza katiba nikitu muhimu
 
Back
Top Bottom