Yanayojiri Bunge Maalum la Katiba leo Tarehe 7.3.2014.

Yanayojiri Bunge Maalum la Katiba leo Tarehe 7.3.2014.

Hakika mkuu. Ila imechangia pia na leo kuwa ni siku ya ijumaa. Kuna wengine walikuwa wanadai haki ya kwenda kufanya ibada mapema
That is not an excuse, kama ijumaa ilikuwa siku ya ibada kwanini walipanga bunge la katiba midaa hiyo. Tumeona wa-Islamu kama hakina Hakeem Olajuwon ambao wapo uwanjani na swaumu yao muda ukifika wanaingia changing room wanapiga mkeka wanakunywa maji na kurudi kwenye kazi.

Hivi hao wanashindwa kupewa sehemu moja katika ofisi za bunge na nusu saa ya kutimka kupiga mkeka na kurudi na wengine wakiwa recess hiwapo bunge lingeanza saa mbili za asubuhi au hata saa tatu. Sababu za kuvunjika siku ya leo sio kabisa halafu kwanini hizo kanuni hazikutayarishwa mapema the whole thing is becoming a joke by day na mimi naamini kwa mwendo huu huko mbele hakuna kitu.
 
ninasubiri kwa hamu mwenyekiti wa kudumu kwani
atalisaidia bunge hili la katiba kuwa na nidhamu
maana ya jana tuliyoyaona yanasikitisha sana
 
Muhishmiwa muhishmiwa muhishmiwa nakutahadhalisha tena kwa mara nyingine, kua mwangalifu ktk kutaja timu kali inayoongoza kwa maneno machafu mjengoni ila mi nakupa dondoo tu, haya kuna mwingine anajiita mchumi daraja la kwanza, ayayayayaaa huyu sasa inasemekana anazini hadi na wake za wenzake, asee jamaa mi natoka naogopa SUPER CONCENTRATED SULPHURIC ACID.

Hiyo red ni Conc H[SUB]2[/SUB]SO[SUB]4[/SUB]-nimekumbuka chemisrty bunge la katiba full shule kwa watanzania
 
Kodi zetu?! Well japo silipi kodi lakini hii tabia yao ya kutokwenda na muda inaonyesha hawako makini

...mkuu "jerrytz" tambua kuwa raia wote wanaishi kwenye enoe la Jamhuri ya Tanzania wanalipa KODI na wewe ukiwemo (kodi ambayo mtanzania huwezi kuikwepe niya kwenye manunuzi ya bidhaa na huduma mbalimbali) kwa mfano: unapo nunua bidhaa za viwandani "kama vile chumvi, sukari, mkate, sabuni, nk. Na pia unalipa kodi pale utumiapo huduma mbalimbali; kama vile Usafiri, huduma za afya, nk.
Kwahiyo mkuu "jerrytz" usijidanganye kuwa halipi kodi:
*WAAJIRIWA NDIYO WANAOUMIA SANA! Kwani wanalipa kodi kwenye mishahara (direct), pia wanalipa kodi kama unayolipa wewe "jerrytz" (indirect)
"NDIYO MAANA WATAWALA WETU, HAWATI WANANCHI WAJUE ELIMU YA URAIA ILI WABAKI WAKIWA MABUMBUMBU, WASIOJUA WAJIBU NA HAKI ZAO"

*Ndugu wadau ELIMU YA URAIA NI MUHIMU SANA HAPA JF. La sivyo kirusi hiki cha watanzania kutojua wajibu na haki zao kitazagaa kizazi na kizazi!
 
Hawa jamaa ni wapuzi sana yani wanahairisha wakti wamechelewa kuingia Bungeni,halafu wanasingizia swala swala,------- zao

Kama hao wamekuwa wapuuzi kwa kuomba masaa 2 tu ya kuswali sala ya Ijumaa, vipi na wale wanaokacha vikao vya bunge siku nzimaa ya Jumapili utawaita nini?
 
Duh...hii nchi sijui "tumerogwa" na nani! Halafu TRA wanahangaika kuwabana wachuuzi kulipa kodi na haya ndi matumizi yake. Hawana hata huruma?

kp24072013.jpg


..kp16072013+(1).jpg


3707d8f2be163bd14c78cf07586f13bb_L.jpg


398a8bc2e3f7f879ff0986359513be80_M.jpg


13f34e2b533e12c6166f88368dcd8c07_M.jpg


kp30072013.jpg


kp02082013.jpg


=
kp06082013.jpg

=
kp23082013.jpg
 
  • Thanks
Reactions: SMU
That is not an excuse, kama ijumaa ilikuwa siku ya ibada kwanini walipanga bunge la katiba midaa hiyo. Tumeona wa-Islamu kama hakina Hakeem Olajuwon ambao wapo uwanjani na swaumu yao muda ukifika wanaingia changing room wanapiga mkeka wanakunywa maji na kurudi kwenye kazi.

Hivi hao wanashindwa kupewa sehemu moja katika ofisi za bunge na nusu saa ya kutimka kupiga mkeka na kurudi na wengine wakiwa recess hiwapo bunge lingeanza saa mbili za asubuhi au hata saa tatu. Sababu za kuvunjika siku ya leo sio kabisa halafu kwanini hizo kanuni hazikutayarishwa mapema the whole thing is becoming a joke by day na mimi naamini kwa mwendo huu huko mbele hakuna kitu.

Marehemu Profesa kighoma Ali Malima alikuwa akitumia chumba kimoja kwa ajili ya kuswali akiwa Wizara ya uchumi na Elimu kama sijakosea na kuitwa mdini na kusakamwa vikali na mfumo kristo! sasa unashauri wabunge wapewe ukumbi kwa ajili ya swala ya Ijumaa! jee, vitimbi vyenu vya kuwasakama na kuwasimanga Waislamu lini mmeamua kuacha?
 
Kabisa aisee yaone yanahairisha kikao wakati yamekea nusu saa tu, yanasingizia swala,
Wakti hata matendo yao hayana Mungu hata kidogo
tuwe na uvumilivu kuheshimu wenzako kama wanavyo kuheshimu, na suala la Duwa/Swala lina umuhimu kadri ya individual perspective na walio tufikisha hapa sio hao wanaotaka kwenda kwenye swala,
 
tuwe na uvumilivu kuheshimu wenzako kama wanavyo kuheshimu, na suala la Duwa/Swala lina umuhimu kadri ya individual perspective na walio tufikisha hapa sio hao wanaotaka kwenda kwenye swala,
Mkuu mimi naheshimu sana ibada za watu,na ni haki yao wale wanapaswa kuswali kwenda kufanya hivo.
Hoja yangu ni kuwa semiba ilibidi ianze toka saa nne lakini wabunge wameanza kkao saa 5:25 , na baada ya dua tu wakaanza kudai bunge lihairishwe wanaenda kuswali,na.hata ambao hawaswali wametumia mwanya huo sasa kama walijua leo kuna swala kwa nn hawakuwahi? Kama wamekosa utii kwa taifa lao je watamtii Mungu?
 
Hiyo red ni Conc H[SUB]2[/SUB]SO[SUB]4[/SUB]-nimekumbuka chemisrty bunge la katiba full shule kwa watanzania

Ule mvuke wake tu wakati wa kufanya titration nilikua sipendi hata kuusogelea, sasa leo solution yenyewe inatumika kuziba midomo walalahoi, inaumiza. Halafu mkuu hebu naomba umzungumzie Saidi Kubenea kwa ufupi sana.
 
Mkuu hiyo dua inasomwaje vile?

Hebu wasiliana na Profesa Maji Marefu, ukimkosa huyo cheki na Dokta Manyaunyau, nadhani wanaijua vyema. Zaidi ya hapo jaribu kucheki na ile tamaduni ilobaki afrika pia watakua wazuri ktk hili ila usijaribu kuhoji mtu wa kutoka Simanjiro utaumia bure.
 
Mkuu mimi naheshimu sana ibada za watu,na ni haki yao wale wanapaswa kuswali kwenda kufanya hivo.
Hoja yangu ni kuwa semiba ilibidi ianze toka saa nne lakini wabunge wameanza kkao saa 5:25 , na baada ya dua tu wakaanza kudai bunge lihairishwe wanaenda kuswali,na.hata ambao hawaswali wametumia mwanya huo sasa kama walijua leo kuna swala kwa nn hawakuwahi? Kama wamekosa utii kwa taifa lao je watamtii Mungu?
kwanza ukumbuke kuna saa ya kikao , which was 10am to 12 noon
pili kuna issue ya idadi ya wajumbe wanaotakiwa kuwepo ili kikao kianze
tatu je walio chelewa ndio hao walio taka kwenda kwenye swala? unaweza kukuta ni sda na wengineo
 
Back
Top Bottom