kalukamise
JF-Expert Member
- May 4, 2011
- 683
- 191
Mimi naomba tu hao jamaa ( bunge la katiba ) wachekiwe vizuri kuhusu matumizi ya viroba, maana hawasomeki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi naomba tu hao jamaa ( bunge la katiba ) wachekiwe vizuri kuhusu matumizi ya viroba, maana hawasomeki.
Heee! Wonders shall never end, kumbe tayari wazee wa watu walishakua waumini wa dini zile zilizokuja na meli?
Mkuu mimi naheshimu sana ibada za watu,na ni haki yao wale wanapaswa kuswali kwenda kufanya hivo.
Hoja yangu ni kuwa semiba ilibidi ianze toka saa nne lakini wabunge wameanza kkao saa 5:25 , na baada ya dua tu wakaanza kudai bunge lihairishwe wanaenda kuswali,na.hata ambao hawaswali wametumia mwanya huo sasa kama walijua leo kuna swala kwa nn hawakuwahi? Kama wamekosa utii kwa taifa lao je watamtii Mungu?
Kama elimu na lugha, na siasa na demokrasia na mengine mengi yaliyoletwa na meli. Kama si hao wenye meli, hata leo kusingekuwa na watu Dodoma wanaandika katiba mpya, so far hata rais aliyeagiza mchakato wa katiba asingekuwepo maana kungekuwa na mangi, watemi, watwa n.k.
Msingi wetu ni kuwapa ukweli wa mambo bila ushabiki hii ni kwa manufaa ya watanzania waliowengi ambao ndiyo wenye katiba yao.
Mkuu mimi naheshimu sana ibada za watu,na ni haki yao wale wanapaswa kuswali kwenda kufanya hivo.
Hoja yangu ni kuwa semiba ilibidi ianze toka saa nne lakini wabunge wameanza kkao saa 5:25 , na baada ya dua tu wakaanza kudai bunge lihairishwe wanaenda kuswali,na.hata ambao hawaswali wametumia mwanya huo sasa kama walijua leo kuna swala kwa nn hawakuwahi? Kama wamekosa utii kwa taifa lao je watamtii Mungu?
Ule mvuke wake tu wakati wa kufanya titration nilikua sipendi hata kuusogelea, sasa leo solution yenyewe inatumika kuziba midomo walalahoi, inaumiza. Halafu mkuu hebu naomba umzungumzie Saidi Kubenea kwa ufupi sana.
yaliyomkuta ni jinamizi kwake,anaifahamu kidogo imfanye kipofu.
Kuna tetesi kwamba limevunjika ingawa kuna wakuu wanchi wamejaribu au wanajaribu kuingilia kati lakini hali ni tete ,hakuna habari imeruhusiwa kutoka ,hadi hivi sasa bado inabaki kuwa tetesi ,lakini wataficha mpaka lini ??