Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Tarehe 12 Machi 2014 - Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Bunge Maalum

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Tarehe 12 Machi 2014 - Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Bunge Maalum

Sitta, Lowasa wote hawa ni mashetani yanayoelekea uzeeni. Wote wanapozi kama watetezi wa wanyonge kumbe ni kwa sababu wanaelekea kubaya tu!
 
Lakini hili la 6 kuwatisha wale wanaotaka kvunja Muungano je ametumwa na nani? kwanini anaonesha hisia zake? kwanini yeye ndiye anayeenda kupitisha hayo maoni au wajumbe wengine?
 
Naona wanapiga kura ya siri bila kusita, je Sendeka & co wapo na wanapiga hiyo kura ya siri?
 
Lakini hili la 6 kuwatisha wale wanaotaka kvunja Muungano je ametumwa na nani? kwanini anaonesha hisia zake? kwanini yeye ndiye anayeenda kupitisha hayo maoni au wajumbe wengine?

Hasa hasa neno "tutawashughulikia"
 
Samuel Sitta,Alipokua akijinadi Kuomba Kura kwa Wajumbe Wa Bunge Maalumu la Katiba Katika Nafasi ya Uenyekiti wa Bunge hilo leo Amedai kua Endapo atapata Nafasi ya Kua M/kiti atawashughulikia Wajumbe wanaopinga Muungano.
Amedai kua Yeye ni Muumini wa Muungano Hivyo hayupo tayari kuona Muungano Unavunjika.
 
Masanduku yako tupu majani hakuna kura iliyotangulia.M.kiti wa muda wa BMK

Mbona picha yaonesha wajumbe hawapo kabisa? tena hapo ni kwenye kiti cha mzee wa kulia machozi bungeni Pinda
 
Na upigaji kura ni kuweka tiki kwenye jina moja tu na upigaji kura kwa wasiojiweza watasaidiwa makaratasi sehemu walipo. Wagombea ni Hashim Rungwe vs Samweli Sitta na hiyo ni baada ya wagombea wengine wawili kutokurudisha fomu. Katika hali isiyotarajiwa Sitta na Lowasa wameshikana mikono baada ya Mh. Sitta kumaliza kuomba kura kutoka kwa wajumbe
Hivi kufungua hii mi thread huwa mnaona sifa sana.Huoni kama kuna thread tayari inayoleta hizi habari???? Moderator unganisheni hizi thread zinatusumbua tu.
 
Last edited by a moderator:
Sita amesema kuwa wenye nia ya kuvunja muugano atawashughulikia. Hii inaweza kumaanisha kuwa kalishwa yamini na wana ccm kuhusu serikali mbili
 
Back
Top Bottom