Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Tarehe 12 Machi 2014 - Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Bunge Maalum

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Tarehe 12 Machi 2014 - Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Bunge Maalum

Hii ni kauli kali sana ambayo nimeisikia. Inawezekana kaapishwa na wana ccm kuwahughulikia wanaodai serikali 3. Inawezekana huo ndio mtazamo wake ili kupata kura zao. Nahofia ...
 
Samuel Sitta,Alipokua akijinadi Kuomba Kura kwa Wajumbe Wa Bunge Maalumu la Katiba Katika Nafasi ya Uenyekiti wa Bunge hilo leo Amedai kua Endapo atapata Nafasi ya Kua M/kiti atawashughulikia Wajumbe wanaopinga Muungano.
Amedai kua Yeye ni Muumini wa Muungano Hivyo hayupo tayari kuona Muungano Unavunjika.
Kauli yake imenichefua sana. Yeye ni nani kama utashi wa wananchi ni kuvunja muungano? Stupid sita.
 
Samuel Sitta,Alipokua akijinadi Kuomba Kura kwa Wajumbe Wa Bunge Maalumu la Katiba Katika Nafasi ya Uenyekiti wa Bunge hilo leo Amedai kua Endapo atapata Nafasi ya Kua M/kiti atawashughulikia Wajumbe wanaopinga Muungano.
Amedai kua Yeye ni Muumini wa Muungano Hivyo hayupo tayari kuona Muungano Unavunjika.

Binafsi nimependa msimamo wa huyu mzee.
 
Kwa uchaguzi huu kwanini Mwenyekiti asingesema tu wanaosema ndio kwa Samwel Sita au Hashim Rungwe waseme NDIOOOO au SIOOOO! kuliko kutupotezea muda bwana!
 
Kwa uchaguzi huu kwanini Mwenyekiti asingesema tu wanasema ndio kwa Samwel Sita au Hashim Rungwe waseme NDIOOOO au SIOOOO! kuliko kutupotezea muda bwana!

kura ya siri ndio democrasia iliyokamili.
 
Samuel Sitta,Alipokua akijinadi Kuomba Kura kwa Wajumbe Wa Bunge Maalumu la Katiba Katika Nafasi ya Uenyekiti wa Bunge hilo leo Amedai kua Endapo atapata Nafasi ya Kua M/kiti atawashughulikia Wajumbe wanaopinga Muungano.
Amedai kua Yeye ni Muumini wa Muungano Hivyo hayupo tayari kuona Muungano Unavunjika.
Tusubiri tuone
 
Lakini hili la 6 kuwatisha wale wanaotaka kvunja Muungano je ametumwa na nani? kwanini anaonesha hisia zake? kwanini yeye ndiye anayeenda kupitisha hayo maoni au wajumbe wengine?

Hapa kwa kweli amebugi! Alitakiwa asionyeshe hisia zake mapema! Hili litapunguza idadi kubwa ya kura zake! Wasiompenda Rungwe wataharibu kura zao!
 
Mh Samwel Sita akipiga kura yake alasiri hii
 

Attachments

  • 1394632594495.jpg
    1394632594495.jpg
    43.7 KB · Views: 88
A man is all about confidence...Mr 6 Has got it
 
Kwa kweli hii kauli ni tata na mbaya...endapo mtu kama mtikila akipata shida yoyote bungeni....ataonekana ameshughulikiwa....

Mtu kama Mtikila ni wa kushughulikia tu, anaropoka sana.
 
Back
Top Bottom