Chabruma
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 5,660
- 1,780
- Thread starter
- #21
Mkuu, naendelea kufuatilia taarifa kwa vile muda huu sipo ofisi za bunge. Pindi nikipata nitakujuza mkuu na watanzania wote watajua kinachoendeleaTuko pamoja! Saa nne ndo hii muda wa mwisho wa kurudisha fomu tupe majina ya waliorudisha fomu!