Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti sitta vs hashim rungwe huu ni uonevu wa hali ya juu tyson vs matula
Mkuu, kumbuka ule msemo kuwa Tanzania kuna mitambo ya kupika majungu. Kuwa mwangalifu na unachosikia
Vyovyote iwavyo,kutenda HAKI bila kujali dini,itikadi n.k ndo utakaokuwa msingi wa kutupatia katiba bora,
....
Kama kawaida natarajia kuungwa mkono kutoka kwa wadau mbalimbali hususan Skype, Simiyu Yetu, MaishaPesa, MKUU WA KAYA, Deo Corleone, Pasco na wengi ambao sijawataja lakini wamekuwa pamoja nasi tangu tuanze utaratibu huu.
Stay Connected
Vyovyote iwavyo,kutenda HAKI bila kujali dini,itikadi n.k ndo utakaokuwa msingi wa kutupatia katiba bora,
kaka chabrua na kubaliana na wewe kwani kunawatu muda wao mwingi wanatumia kutengeneza majungu ushauri wako noted. " Ole wake yeye amsingiziae ndugu yake kwa uongo" ni Zaburi hiyo
Magambas at war (Sitta & co)wanafiki Vs (Lowasa & co) mafisadiSamahani mkuu. Nilikutaja kwa ujumla wake. Ila kuna wengine nimewataja si wana Lumumba. Katika mjadala huu wa Katiba Mpya tumewekeana makubaliano kuwa tofauti zetu za kisiasa tuziweke pembeni
Wadau, hali ya ukumbi inaanza kupendeza zikiwa zimebaki dakika tatu kabla ya saa 10 jioni