Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Tarehe 12 Machi 2014 - Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Bunge Maalum

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Tarehe 12 Machi 2014 - Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Bunge Maalum

Swali la kwanza ni kua kwa kua kajipanga vzr kwa viwango na kasi ana maana gani.
 
Logola kangi anamtandika swali 6.....je kazi zotee za viwango na kasi anamaana gani
 
kazi zote, viwango na kasi ana maana gani?
 
Sitta anajisifu kuwa yeye ni mtu wa kujipanga (wanacheka)....anasema yeye ni mbunge kwa miaka 29, na kaongoza Bunge al Viwango la 9....kwa hiyo akichaguliwa ni sawa na kumrejesha chura kwenye maji aliyoyazoea(wajumbe anacheka na kushangilia kwa nguvu....anaomba kura ya Pinda , Kificho, Bara na Visiwani na wote....Maswali....Kuna wajumbe wanakataa asiulizwe swali.....Kuna washamba wamewasha mic.......swali: kazi zote viwango na kasi ana maana gani...Jbu: ni falsafa ya ufanisi hususani katika kupata Katiba bora.....watu wanakataa asiulizwe maswali....wanaguna....hahaha.....
 
Anajibu Sitta kua viwango na kasi ni falsafa yake na anasema anamanisha kua katiba ya itatakiwa kua ya viwango na kuwafikia wananchi kwa wakati.
 
Jamani naomb kujua utaratibu,akishapatikana mwenyekiti ndo anachaguliwa makamu toka zanzibar au wanaunganisha uchaguzi?
 
Je 6 unaweza kutuongoza kupata katiba ya kiwango?
 
Samwel Sitta huna mpinzani, maswali bwerere..hata form 1 angeyajibu Yote..
 
wanakosa maswali ya maana ya kuuliza!
 
Swali la pili sijalisikia vyema ila wadau wengine wataripoti
 
mbona bunge kama kilabu cha chibuku,kuna mzanzibari demu hazimi mic anasikika na kiswahili chake,huyu mama mpu.uzi nini.
 
Back
Top Bottom