Swali....anaweza kuongoza Bunge hili la kihistoria na kupata Katiba nzuri?....Jibu: NiNadhani muuliza swali kadhibitisha kuwa mimi ni muumini wa viwango.....Kuna wajumbe wanawasha mic na kusababisha vurugu......swali: Mgombea: Bunge lina Makundi; kanuni ya na 37, 38: kama Bunge litashindwa kuafikiana, atafanya nini? Jibu: Mungu utuepushe; ya nini tufike huko! Kwa msaada wa M. Mungu.....na huku kuna vichwa vilivyoteuliwa na Rais....Kuna wale wanataka kuvunja Muungano na wao nitaashughulika nao kikamilifu....Hawa waajua msimamo wangu kuhusu Muungano, na wamenizushia ugonjwa lakini nitapambana nao hivyo hivo.....makofi hapa....Sitta anaakaa