OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Sitta anamshukuru Mwenyezi Mungu
........akajenge sasa Ofisi ya BMK Urambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitta anamshukuru Mwenyezi Mungu
........akajenge sasa Ofisi ya BMK Urambo
Kundi la lowasa ni dogo sana limeshindwa kufikisha kura 70?
Wamebaki wakimwimbia lowasa wao
Anawashukuru wengi na hasa CCM kwa kumpendekeza. Anawananga pia wale waliokuwa wanavumisha kuwa kuna uhasama baina yake na Chenge
Mengine anawananga tu maadui zake.
Porojo za Sitta naanza kumshusha hadhi yake anaanza kuleta uvyama hapa
........akajenge sasa Ofisi ya BMK Urambo
Sitta amemchagua Mhe Bahati kuwa wakala wake wa kuhesabu kura. Makonda kaonekana kukunja uso sijui alidhani atateuliwa yeye? Yaani huyo kijana ni poyoyo kweli kweli.
Sent from my iPad using JamiiForums
Sitta: ".... Mimi na Andrew Chenge ni marafiki wa siku nyingi na ndiye niliyemteua kuwa mwanasheria mkuu...." HIVI KUMBE NCHI HII KAMA HUJULIKANI NDO BASI TENA