Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Kaongea vizuri lkn mwisho kajionyesha kabisa hayupo bungeni kuwakilisha walemavu bali yupo kuiwqkilisha ccm sasa kalenga na chalinze kwa uwakiloshi wake vinahusika na nn

huyo ndo mwakilishi wa ccm aliyevaa koti la walemavu.
Ni wa kupuuzwa tu kama tunavyompuuza yeye mwenyewe.
Sasa mambo ya kalenga na chalinze yanaingiaje kwenye bunge la katiba!
 
Kwa ccm kuelezwa ukweli ni matusi,,, hilo linajulikana ,ccm hawapendi ukweli na ndio mana hata wale walio ndani ya chama wakiwa wakweli wanatengwa mf, DEO FILIKUNJOMBE. anaonekana kirusi ndani ya chama sababu ya kusimamia ukweli.

Acha siasa kwenye mijadala mizito ya kitaifa utakua kama mjumbe wa bunge anayefananisha mambo ya kalenga, chalinze na katiba mpya.
 
hata kama unachongea kwa moderators ukweli ndo huo.
Hebu msikie hoja zake huyo mpanju.
Ina maana na yeye anashindwa kuelewa hesebu ndogo kama hii hapa:
x + y = xy
badala ya kusema hii


x + y = xy + y.

Where as
x - tanganyika
y- zanzibar
xy- Tanzania
Ukweli gani unaoongea zaidi ya kuleta uchonganishihumu? Hakika umeniudhi kweli. Itoshe kubaguana kisiasa na si kimaumbile.
 
Mjumbe wa bunge malumu la katiba mpanju ameendelea kutafuta huruma kwa kutumia ulemavu wake, baadhi ya wajumbe walisema yafuatayo kuhusu huruma ya mpanju anayotafu kwenye jamii, huwezi ukawa mjinga kama mpanju halafa ukatafuta huruma kwenye jamii kwa kisingizio cha ulemavu
 
Mbona umeferii? Hv anachofanya lisu ni mipasho au hoja, Hv nani asiyeamini kuwa Tuna Muungano? mtu ana simama na kusema Muungano siyo sahihii. Watu milioni 45 wanaamini halafu yeye haamini , kisa Mwanasheria.
 
Acha siasa kwenye mijadala mizito ya kitaifa utakua kama mjumbe wa bunge anayefananisha mambo ya kalenga, chalinze na katiba mpya.

Nimekuelewa mkuu umeongea point ya msing.
 
huyo ndo mwakilishi wa ccm aliyevaa koti la walemavu.
Ni wa kupuuzwa tu kama tunavyompuuza yeye mwenyewe.
Sasa mambo ya kalenga na chalinze yanaingiaje kwenye bunge la katiba!
Kwani mtu akiwa mlemavu hawezi kuwa mfuasi wa chama cha siasa? Mbona mbunge wa Lindi mjini ni mbunge wa kuchaguliwa kwa tiketi ya CUF?
 
Mbona umeferii? Hv anachofanya lisu ni mipasho au hoja, Hv nani asiyeamini kuwa Tuna Muungano? mtu ana simama na kusema Muungano siyo sahihii. Watu milioni 45 wanaamini halafu yeye haamini , kisa Mwanasheria.

Kama umetizama bunge alipokuwa anachangia lisu ungeandika point,lakini kwa hufuatilii bunge unachangia hoja ili mradi umeikuta mezani kaa pembeni.
 
Huyu kipofu ameamua kapisa kuweka hazarani mahaba ya ccm.
Amemaliza kwa kusema salamu za Kalenga na Chalinze ziwafikie..........


Na mimi namwambia Mungu hufanya jambo kwa makusudi/habahatishi, hivyo alimjua kabla ya kumuumba.

naunga mkono hoja kwa 100%.
Na naomba Mungu amzidishie ulemavu mwingine kama huo.
Hasa kwenye kizazi na nyeti zake, hatutaki watu wenye kulaaniwa kama yeye.
 
sijui Mpanju alikuwa na maana gani akisema unaweza jiona umzima kwa muonekano wa nje lakini kumbe unakilema kisichoonekana
 
Dah hii nchi hii mitambo ishakorofisha teba cjui
Ola bora nishamsikia lissu
 
Ana haki ya kulalamika na kama hilo limefanyika hatuna budi kukemea mambo haya. Hii sehemu ya kupashana habari cy kukashifiana.
 
sijui Mpanju alikuwa na maana gani akisema unaweza jiona umzima kwa muonekano wa nje lakini kumbe unakilema kisichoonekana

na hatakuja kuona kamwe ulemavu usiooneka.
 
Back
Top Bottom