Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Akichangia sura ya kwanza na ya sita,membe ambae pia ni waziri wa mambo ya nje amesema anaunga hoja serikali mbili sera ya ccm,huku akitabiri machafuko endapo serikali tatu itapitishwa. pia kasema watakuja kulaaniwa wajumbe wa tume ya warioba na wajumbe wa bunge la katiba,membe anabashiri machafuko pia anawabeza wanaowakosoa waasisi kana kwamba hawastahili kukosolewa. kwa mtazamo huu napata shaka na diplomasia yake nje nchi wakati hapa nyumbani anatetea chama badala ya wananchi
 
Namuona huyu kiongozi wa wenye ulemavu nchini anasema na yeye anawalemavu wengi walioko nyuma yake hivyo na yeye anaweza kuwaamasisha wakafanya jambo katika taifa hili (Alikuwa anatahadharisha wale viongozi wanaojitamba kuwa watahamasisha watu wao ili kufanya vurugu.

NB:
ukistaajabu ya musa utayaona ya Mpanju
 
Amon Mpanju anazitaka mamlaka kuwatambua walemavu ili yanapotokea majanga kama ya mafuriko, inakuwa ni rahisi kuwaokoa
 
Mpanju:Jussa alisema Anaipuuza Taarifa na ananipuuza mimi
 
Nimesikia mjumbe 1 wa Bunge la katiba akilalamika kutukanwa na mtandao wa jamii na kulaumu kuwa alitukanwa na "mtandao wao" sasa nashindwa kuelewa ni mtandao wa wakina nani? kuna mwana siasa mwenye mkono wake humu au kila mtu anauwezo wa kuchangia hoja ya kweli na ya kujenga?
 
Kinacho nishangaza mimi ni kuwa kumbe mpaka leo HATI YA MAKUBALIANO YA MUUNGANO HAIJAFIKA BUNGENI na badala yake imepelekwa kwa waandishi wa habari hivi walioidai hati hiyo ni waandishi au wabunge? Mbona Wassira aliahidi kupeleka bungeni kabla ya Leo dah Kweli ccm wameshikwa uchawi!

BACK TANGANYIKA
 
Unazungumzia Chadema au Tundu Lissu? Kama ni mfuatiliaji mzuri ungeweza kuona mipasho wanayotoa Chadema na matusi juu, sasa wakijibiwa ndio iwe nongwa?....haifai bwana jino kwa jino.
Nimekuwa nikifuatilia bunge toka mwanzo na nikifuatilia hoja na michango mbali mbali kutoka vyama mbalimbali ya wachangiaji kutoka pande zote ,,na nilicho gundua ni kwamba wachangiaji wengi wa ccm hawana hoja zaidi ya mipasho na kejeli maneno ya kimbea kimbea ,ushakunanku bila hoja,unakuta mtu kasimama mwanzo hadi mwisho ni mipasho tuu, na anapigiwa makofi na vigerere lakini ni mopasho tuuubila hoja za msingi kutetea hoja zao.. Lakini CHADEMA wamekuwa wakijitahidi kujibu hoja kisomi na kitaalami kwa vigezo na envidance na maandishi mbali mbali ambazo zimekuwa mikuki kwa ccm sababu kila anacho kisema hatoi kichwani kawajibu mambo yote kutoka kwenye katiba ya zanzibar ambayo haimtambui raisi wa tanganyika.
 
jamiiforum ni ya wanajqmiiforums ukiwepo wewe na mimi
 
Yule kipofu anataka kujinyea tena hapa.
Huyu mtu siku zote huwa anatumia sympathy na macho yako yake kueleza uchafu wake.
Usilete hoja zako za kijinga mkuu hiyo lugha kaitumie mnakaa kule na wahuni wenzako siku moja hata wewe unaweza kuwa na ulemavu wa macho sijui utasema nini.
 
Hakika huyu mbunge ananikumbusha mbali sana. Anasema kuwa wapinzani wa mapinduzi ni hawa hawa wanaopinga muungano hasa kupitia vizazi vyao. Anasema kuwa Wazanzibari wanaotoka Unguja, wana muingiliano na watu wa bara huku wa Pemba hawana muingiliano wa kidamu zaidi ya ule wa kibiadhara.

Mkuu nina jirani yangu mpemba hapa kaoa mdigo hiyo hoja mi naona haina mashiko
 
Mkuu, hapana na tena nakataa kwamba hapana. Hii si lugha ya hapa JF labda kule kwingine. Hakika umekuja kupandikiza kirusi cha ubaguzi na unyanyapaa. Hakika Mods watu kama hawa msiwape nafasi ya kuonesha hisia zao za kipumbavu humu. Hakika imeniuma sana kwa huu unyanyapaa ulioonesha na huyu mdau. Hakika ameidhalilisha sana JF. Ukumbuke kuwa hakuna mtu ameomba kuwa mlemavu.

naamini ninachokisema na nitasimamia hivyo hata kama wewe hutaki.
Huyu mpanju amekuwa akitumia sympathy yake kuwasema watu binafsi mfano anahoji uhalali wa taaluma ya Tundu Lisu na uchungaji wa Mtikila.
 
Nachokiona Amon Mpanju anataka umaarufu kupitia Lissu
 
Hivi katiba ya Zanziba imeandikwa kwa nukta nundu? Hapa Mpanju analidanganya bunge kwa kunukuu vifungu katika katiba ya Zanzibar.
 
Hee wewe unaangalia bunge gani? Hivi matusi ya Lisu ndio hoja na usomi, kama hujui huo ni upumbafu na kifo kisiasa.

Kwa ccm kuelezwa ukweli ni matusi,,, hilo linajulikana ,ccm hawapendi ukweli na ndio mana hata wale walio ndani ya chama wakiwa wakweli wanatengwa mf, DEO FILIKUNJOMBE. anaonekana kirusi ndani ya chama sababu ya kusimamia ukweli.
 
Back
Top Bottom