Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Lisu limemuona akirudia mipasho yake ileile hana jipya kabisa kwenye michango yake.Lisu anastahili kupewa muda zaidi kawafungua macho weengi hata kificho nimeona anaanza kusoma katiba ya zanzibar...Asante sana Lissu.
Hembu nimsikilize membe kichwa huyu sijui tundu hajaeleweka ameharisha tu hapa
Membe kajichefua na kujinyea hapa anagunaguna tu hapa.
Huyu sidhani kama ataweza kuwa raisi wa Tanganyika.
Hizi ndizo akili za bavicha.Membe ms.enge anazidisha mda,afu anajichanganya kabisa,anaonesha utovu wa nidhamu wa hali ya juu
Ila Tundu lisu mi noma
Yaani katufumbua macho wengi
Mkuu huyo siyo hamadi Rashid bali ni halifa mbunge wa cuf zanzibar.Hamad Rashid Mohamed: kwa nini tunakuwa waoga .. naiunga mkono rasimu na haiko kamilifu
Mkuu huyo siyo hamadi Rashid bali ni halifa mbunge wa cuf zanzibar.
Daah,Tundu Lissu ni mtamu jamani