Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Lissu:Kuna watu walisubiri Mwalimu amekufa ndio wamerudi CCM"
 
ZNZ haijawahi kuridhia muungano hadi keshokutwa.by Tundu Lissu
 
Lissu:Leteni Hati hapa tuwaoneshe Jinsi mlivyo Waongo
 
Lissu anachangia anasema ile hati wamebushi mbona hawataki kuupeleka bungeni
 
Lissu: Nyerere aliunga mkono Biafra iliyotaka kujitenga na Nigeria .. alikosea
 
Ibara ya 26(1) ya katiba ya Zanziba, rais wa Zanziba atakua mkuu wa nchi ya Zanzibar-Lissu.
 
Lissu: Mwakyembe alikubali mapendekezo ya Tume ya Nyalali, Kissanga
 
Aise Lissu utauawa bure hebu punguza ukali wa hoja
 
Lissu : Rais Kikwete Siyo Amiri Jeshi Mkuu Wa Zanzibar
 
Zainab Kawawa anasema;
Nataka nizungumze na watanzania leo kwanini sikubaliani na serikali inayo itwa ya shirikisho. nchi ndio inayozaa urai na kutengeneza utaifa.
Jamhuri hiyo ya tanzania haitoi huduma za afya, elimu na huduma zozote. haiwezekani.
viongozi wa upinzani igeni mfano wa viongozi wa ccm, kwanini chama kimeendelea kua imara. nyie hamna utashi wa kuvumilia na kukosoana. Muna hadhi gani ya kuvaa koti linalofanana na wasisi wa nchi hii. Wajumbe wameonesha dhamira ya kuvunja muungano wetu.

Hivi nyiynyi mnaotaka serikali tatu kwania mbaya mnaonesha dhamira ya kuuvunja muungano huu. nani asiyejua chadema haina wanachama zanzibar? watanzania ndio wanao gawa uongozi. waroho wa madaraka ninyi. acheni njia za dezo. nawashukuru sana kwa kunipa nafasi.

Wenye uroho wa madaraka yeye na baba yake mzee Rashidi,amezaliwa kwenye madaraka anakulia kwenye madaraka anataka na watoto wake wakulie na wazeekee kwenye madaraka. Change of system haitawahakikishia hilo. wapuuzi!!
 
Kikwete anapanga foleni kule wakati mkuu wa nchi ya Zanzibar akipigiwa mizinga 21-Lissu
 
Lissu: katika mazingira haya nani anaweza kusema sisi ni nchi moja? Hata kiprotokali anapigiwa mzinga Shein siyo Kikwete
 
Lissu kasafisha takataka zote za vijihoja vilivyozuka bungeni na humu jf. Safi sana Lissu.
 
Tundu Lissu anasema;
Naomba nianze kwa kujibu vihoja. kuna kihoja kinasema tundu lissu amemtukana baba wa taifa.1995 baba wa taifa alihutubia mbea akasema, asiyekubali kukosolewa hawezi kuwa kiongozi bora. baba wa taifa alikua binadamu hakua Mungu wala maraika alikua binadamu na hajawa mtakatifu bado. baba wa taifa alishawahi kuunga mkono vita ya biafra wakliotaka kujitenga na nigeria. kuna watu walikimbi ccm wamerudi baada ya ccm kufa.

Hati ya makubaliano ya muungano upo haupo.Tumeoneshwa sahihi nenda ulinganishe. leteni hizo sahihi hapa tuwaonesheni mlivyo waongo.

Zanzibar haijawahi kuridhia muungano mpaka kesho kutwa. kama mashariti ya muungano hayajatekelezwa kwa miaka 50 ni halali?

Muundo wa shirikisho wa serikali tatu kama ilivyopendekezwa na tume ya nyalali kisanga walioba na wananchi ndo unafaa. ndivyo alivyo pendekeza mwakyembe miaka 20 iliyopita. Rais wa Tanzania kikwete sio mkuu wa zanzibar. katiba ya zanzibar inasema rais wa zanzibar atakua ndio rais mkuu, na mkuu wa vikosi maalum. haya sio maneno ya tundu lissu ni maneno ya katiba ya zanzibar. Nani anaye weza kusema sisi ni nchi moja. kikwete akienda zanzibar anayepigiwa mizinga ni shein kikwete akiwa mbali kabisa. Mukiwa na rais magogoni mwingine mmnazi mmoja wakipishana itakuaje?

Tutengeneze utaratibu mpya baada ya miaka 50 ya kudanganyana. tusipochukua hatua za haraka mbele ni giza tupu. watakao anzisha muda si hawa wanaoanzisha katiba mpya bali ni wale wanaofumba macho wakati mambo yakiharibika. kamaliza.
 
Watu woyoooooooooooooooooooooooooooo Lissu ametisha
 
Back
Top Bottom