Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Hakika huyu mbunge ananikumbusha mbali sana. Anasema kuwa wapinzani wa mapinduzi ni hawa hawa wanaopinga muungano hasa kupitia vizazi vyao. Anasema kuwa Wazanzibari wanaotoka Unguja, wana muingiliano na watu wa bara huku wa Pemba hawana muingiliano wa kidamu zaidi ya ule wa kibiadhara.
 
Wapinzani wa zanzibar ni wale watoto wa wakoloni wa zanzibar toka enzi hizo.
 
Sasa anazungumza mapunda anahoji uhalali wa takwimu za tume ambazo anaona hazikuwa na uhalali kutokana na namna zilivyokusanywa hasa kwa kuacha maoni ya mabaraza ya kata na wilaya.

Mabaraza ya kata na wilaya yanawatesa sana ccm kwa sababu walifanya njama na mbinu ili yatawaliwe na maccm,sasa mategemeo si kama walivyotegemea wazee wa mbinu na kufoji. Nakubaliana na Lissu mzowea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi
 
LABDA IWE HIVI......!!!
Kipofu-mlemavu wa macho.
Kiziwi-mlemavu wa masikio.
Bubu-mlemavu wa mdomo.
Kipara-mlemavu wa nywele.
Kitambi-mlemavu wa tumbo.
Mapengo-mlemavu wa meno. Wowowo-mlemavu wa matdko.
Lesbian-mlemavu wa knma.
Gay-mlemavu wa mbo.o

Mkuu nimecheka sana ila mistari yako mitatu ya mwisho unaipapasa ban, ni tanbihi tu.
 
Hakika huyu mbunge ananikumbusha mbali sana. Anasema kuwa wapinzani wa mapinduzi ni hawa hawa wanaopinga muungano hasa kupitia vizazi vyao. Anasema kuwa Wazanzibari wanaotoka Unguja, wana muingiliano na watu wa bara huku wa Pemba hawana muingiliano wa kidamu zaidi ya ule wa kibiadhara.
Hakika mkuu katukumbusha mbali sana,halafu watu wa picha nao wakamuonesha salungi sijui na yeye ni watoto wa wakoloni waliokuwa zanzibar.
 
Waziri Rajab Salum anasema;
Mimi ni muumin wa serikali mbili si kwa kufuata mkumbo au kubembelezwa na mtu. Mimi ni msomi nimefanya research na kuona serikali mbili ndizo zitatupeleka mbele.

Huwezi kutengeneza shirikisho bila kuwa na washirika. zanzibar kukubali shirikisho ni kuigeuza zanzibar kuwa kama eritrea na comoro. wapinzani wa zanzibar hawakuanza leo. wapinzani wa uhuru wetu wa 1964 ndo hawahawa vizazi vyao vinaendelea kuwa wapinzani.

Unapozungumzia zanzibar unazungumzia Unguja na pemba. wazanzibari wa unguja wanamaingiliano makubwa ya damu na wabara lakini wapemba wanamaingiliano madogo ya damu na wabara sana sana biasha. Wanaotaka Serikali tatu wanataka kuvunja muungano na kuchukua maduka yao na kupeleka pemba,

Nature ya binadamu yoyote anapoambiwa ukweli lazima akasirike. Kwa vile naunga mkono serikali mbili napendekeza rais wa jamhuri na makamu na rais wa zanzibar la makamu rais wa kwanza na wapili wa zanzibar washirikishwe kwenye jamhuri na watambuliwe kuulinda muungano wetu. Tupo hapa kama taifa moja. tuache ushabiki tuambizane ukweli. asante
 
Mkuu hawajaokotwa wameteuliwe kutoka kwenye makundi yao wanayofulsa nzuri na upeo mzuri sana wa kutoa mchango wao katika kutunga katiba.

Una hakika hawajaokotwa? Kingunge tangu lini alikuwa mganga wa kienyeji,au kwa sababu hamkubali Mungu kwa sababu ya ujamaa wake ulioshindwa?
 
Mwakyembe kampa nafasi yake ya kuongea Membe .. naona Dr. ametumia hekima.. well done
 
Gavu,
Anaunga mkono serikali mbili huku akisistiza kwamba masuala ya ulinzi yanahitaji bajeti kubwa sana hivyo basi kwa pesa zinazopendekezwa na tume ya warioba kamwe haziwezi kuendesha jeshi.
 
Ndio maana Masanja anawaitaga hawa kua ni viburudisho, unadhani bungeni kungekuaje kama hakuna viburudisho mkuu!?
 
Kutokana na michango ya wajumbe wa ccm inayoendelea bungeni,katiba mpya kupatikana ni ndoto.wakuu tujiandae kumsikiliza T.Lissu dk 3 zijazo.
 
Issa Davu anasema;
Naunga mkono mapendekezo ya wengi ya kamati namba 11. tuendelee kubaki kwenye mfumo wa serikali mbili. ulinzi na usalama zinahitaji fedha nyingi. usalama na ulinzi upo kwenye serikali ya tatu ya muungano ambao hauna vyanzo vya mapato.

Zanzibar imetuchukua miaka 40 bila hawa wanasiasa kuyatambua mapinduzi tukufu ya zanzibar. kama anaweza kubana uhuru wako hawezi kukupa uhuru wa kuuukubali muungano. Tatizo la zanzibar sio mfumo wa serikali bali uchumi. vinginevyo tukitaka serikali tatu ina maana tunataka kuuvunja muungano jambo ambalo sipo tayari kufanya hivyo.

Faida za muungano zipo nyingi tu. Bila muungano kusingekuwepo na sherehe za mapinduzi, maadui wa mapinduzi bado wapo. Shindanisha maendeleo ya miaka 200 tuliyo tawaliwa na miaka 50 ya muungano. hatukua na mtaalamu hata mmoja lakini sasa hivi tuna wataalamu wengi. Nawaomba wabunge tukisimama tujisemee sisi wenyewe sio kuwasemea watanzania eti wamewatuma.
 
Kwa akili ya baadhi ya wawakilishi wetu huko BMK ni dhahiri suala la maendeleo kiujumla kama nchi ni ndoto! Binafc bila kujitoa ufahamu hamna muungano wa nchi mbili alafu serikali mbili.... Kama co moja bac iwe tatu mbona suala lipo wazi kabisa!
 
Nyerere hakua malaika hakua Mungu na hajawa mtakatifu, ni binadam kama wengine-Lissu
 
Zainabu kawawa,
Anaanza kwa kupinga muundo wa serikali tatu.
serikali ya shirikisho haina maana kwa kuwa haitoi huduma yoyote ya kijamii.
Anawaponda viongozi wa upinzani kuwa wanamponda baba wa taifa lakini wao wanasifa gani ya kuvaa koti la baba wa taifa.

Anataka na mtumishi wa Nyerere yule mzee mfupi aliyekuwa anaitwa Rashidi apewe heshima pia nini?
 
Lissu: kuna vihoja.. kihoja kuwa nilimtukana Baba wa Taifa .. refer to ""Tujisahihishe"
 
Hati ya makubaliano ya muungano ipo haipo? Linganisheni sahihi za Karume katika nyaraka tofauti. Leteni hiyo hati tuje tuwaonyeshe mlivyo waongo-Lissu.
 
Back
Top Bottom