ifweero
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 7,957
- 1,335
Amefikisha ujumbe mzima mzima, vijana wanasema makavu liveHakika Zainab Kawawa ameongea kwa hisia na jazba za kisiasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amefikisha ujumbe mzima mzima, vijana wanasema makavu liveHakika Zainab Kawawa ameongea kwa hisia na jazba za kisiasa
Wasitudanganye eti serikali tatu zitaongeza gharama, mbona leo hii tuna serikali mbili na bado deni la taifa linazidi kukua na hali ya mtz inazidi kuwa mbaya!
Hapa ni serikali tatu mpaka mwisho na hayo ndio maoni ya wananchi!
Mkuu, kwa Vita na Zainab Kawawa, hapo utakuwa umeteleza. Hawa watoto ni wazalendo na wana mapenzi ya dhati kwa nchi yao.Matatizo ya kuwapa fadhila kila ati mtoto wa kiongozi hata kama ni bubusa kama huyu binti wa Kawawa.
Yaani yule Nyerere kawa nani hata asijadiliwe mpuuzi mkubwa huyu.
Maloun aende akasome kisha akasimame tena na marupurupu ya MISUKULE wanzie.
Hakika Mkuu. Yaani kaongea kwa muktadha ule ule ambao wengi wanapenda kuusikia. Ila kuna mtu alikuwa analeta utani eti anamuomba Zainab awe anaongea huku amesimama. Anasema eti wakati anaongea alikuwa amekaa. Huu ni utani sana kwa watu wa kusini ambao wengi wao ni wafupiAmefikisha ujumbe mzima mzima, vijana wanasema makavu live
Mkuu, kwa Vita na Zainab Kawawa, hapo utakuwa umeteleza. Hawa watoto ni wazalendo na wana mapenzi ya dhati kwa nchi yao.
Zainab Kawawa anasema;
Nataka nizungumze na watanzania leo kwanini sikubaliani na serikali inayo itwa ya shirikisho. nchi ndio inayozaa urai na kutengeneza utaifa.
Jamhuri hiyo ya tanzania haitoi huduma za afya, elimu na huduma zozote. haiwezekani.
viongozi wa upinzani igeni mfano wa viongozi wa ccm, kwanini chama kimeendelea kua imara. nyie hamna utashi wa kuvumilia na kukosoana. Muna hadhi gani ya kuvaa koti linalofanana na wasisi wa nchi hii. Wajumbe wameonesha dhamira ya kuvunja muungano wetu.
Hivi nyiynyi mnaotaka serikali tatu kwania mbaya mnaonesha dhamira ya kuuvunja muungano huu. nani asiyejua chadema haina wanachama zanzibar? watanzania ndio wanao gawa uongozi. waroho wa madaraka ninyi. acheni njia za dezo. nawashukuru sana kwa kunipa nafasi.
Sijui amechangia nini huyu Diana Chilolo hatasimuelewi mie.
Hakika Mkuu. Ila mambo mengi ambayo anayalalamikia ni ya kiutendaji zaidi na yanaweza kurekebishwa bila hata ya kutobadili mfumo wa muungano. Mambo hayo ni pamoja na mgawanyo wa mabalozi nkAbubakar: udhaifu wa muungano unatulazimu tubadilishe katiba.
Hakika Zainab Kawawa ameongea kwa hisia na jazba za kisiasa
Kwa hakika sioni msingi wowote kwa mtu anayejitambua kuwa Upande CCM zaidi ya kusaka tonge,, au la ni mjinga na kwa sababu ameshindwa kuukataa ujinga hawezi kuikataa CCM,
Mkuu, kwa Vita na Zainab Kawawa, hapo utakuwa umeteleza. Hawa watoto ni wazalendo na wana mapenzi ya dhati kwa nchi yao.