The Listener
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 993
- 216
Nimemsikia mama Kabaka akisema kuwa jinsia ni tunu ya Taifa. Hoja yake kaijenga kwa kuwauliza wanaume kwamba wangejisikiaje kama wangekuwepo wanaume peke yao ndani ya bunge. Akaendelea kuwaulizia wangefurahi kama wangekuwa peke yao. Mmmmmmhh mimi nimebaki macho pima