Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Jussa ameshindwa kujibu mapigo yule mama asha alimmaliza kumwambia hajaufyatua hana mke wa watt kwa umri wake duuu lazima afyate.

Kama ulimsikia Jussa alisema hana muda kujibu watu kwa sababu yeye anajadili hoja na akili kubwa hujadili hoja ila akili ndogo hujadili watu,Mkuu wewe uko wapi hapo kujadili hoja au watu kiCCM
 
Duh,huyo DIANA CHILOLO kaponda au kachangia?
kwa ujumla mpaka sasa sijaona mjumbe wa ccm aliechangia hoja ya maana zaidi ya vijembe,matusi,ubaguzi wa rangi,kejeli,mipasho nk.labda watakapochangi Kangi Lugola,Deo F/kunjombe na Ester Bulaya tutasikia la maana toka upande wa ccm.,
 
Wasira anamchamba lissu na wenzie

Yale yale niliyokwambia ya ki CCM ni vigumu kuchambua na kujibu hoja badala yake wanawajadili watu,ila kwa mwenye akili anajua atajua which is great mind and which is simple mind.
Kinachonitisha wale walio kwenye madaraka ndiyo wanaangukia kwenye simple mind,and we gave them the authirity to decide our fates
 
Kwa hiyo ina maana yeye Mpanju alimgusa Mungu machoni ndiyo maana akampiga UPOFU wa macho?! Eti Serikali 3 ni kaburi la Muungano! Huyu Mpanju amekuwa mpiga ramli siku hizi? Nafikiri Mungu hakumpiga UPOFU wa mcho tu, bali pia alimpiga UPOFU WA AKILI!

sema taratibu utashukiwa sasa hivi na wenyewe, we haya tu
 
Skype nimeona kuna post inasema mtikila atachangia jioni bt sina list mkuu
 
Last edited by a moderator:
Bahati mbaya sana mjadala wa Katiba mpya hauna mwamuzi wala Jaji kila mtu hujiona ana hoja kuliko mwenziwe, lakini katika ulimwengu wa mahakama hakuna Jaji anayekuwa Jaji wa shauri lake mwenyewe na jicho huwa halijioni japo huona vitu vingine. Tundu Lisu hawezi kujipa jukumu la kumkosoa Nyerere hata pale anapoambiwa kuwa hapa au pale kateleza angekubali basi naye angedhihirisha ubinadamu wake kama anavyomsema Marehemu Mwalimu Nyerere. Kukos0a huwa tunamkosoa aliyeko hai anaishi. Nia ya kumkosoa mtu ni ili ajirekebishe. Unamkosoa marehemu ili afanye nini maana hana tena nafasi ya kujirekebisha. Ni nani hasa aliyesema Tundu Lisu yuko sahihi? Yuko sahihi kwa lipi? Maadamu hakuna mizania ya kupima usahihi wa kila mmoja, jamii ndiyo itakayopima na kuamua. Walio wengi wanaona Tundu Lisu hayuko sahihi lakini kama mtihani anatunga yeye mwenyewe Tundu Lisu na anasahihisha yeye mwenyewe yumkini atapata zote hata kama kakosea. Waingereza wanasema 'Self qualification is no qualification'. Kama tupo kwa ajili ya ubishi basi hatutapa hoja isiyoweza kubishiwa hata siku moja lakini muungwana hukiri kukosea pale wenziwe wanapoona kuwa kakosea, lakini mtwana hayupo tayari kukubali kwa lolote.
Lisu yupo juu kuliko Mashahidi wa Yehova.
 
Akili yako kama ukawa,umepofuta,hata wewe unaamini sahihi ya Karume ni fake?

Mkuu na wewe unaamini hati itakayowasilishwa kuwa sahihi zote zilizopo ni za kweli ??na ndo maana lisu kasema hati kama ipo je ni halali,na kama ni halali je muungano huu tulionao saivi ni halali, ila ucpanic sana bro lisu si kashatueleza hizo sahihi tusubirie tu hiyo hati ije na tuikague kwa umakini na tufananishe na sahihi zao zingine ili tugundue kama anayoyasema kama ni ya kweli.
ila nakuomba usiwe na ushabiki wa mipasho tu kama bungeni wanavyofanya wanaccm..
 
Wananchi inabidi tuhoji kwa nini sisiem hawachangii katiba bali wanachamba kamati na upinzani
 
Tumechoka kelele zenu maana hata akijitokeza mungu leo hih aseme serikali tatu hazifai hakika atachomwa moto kama mwizi wa pikipiki labda kama atakuja kwa mtindo wa mkate maana kuna watu wana hasira sana na serikali mbili. Naomba mtutajie hayo mapungufu ya serikali mbili jinsi yatakavyotatuliwa kwenye serikali tatu na jinsi yatakavyostawisha maisha ya wananchi.
 
Wachangiaji wa ccm wamegeuka wapiga ramli/wanajimu na kutabiri anguko la Tanzania chini ya mfumo wa s3. Bure kabisa hawa, there is no such thing as science of the future.
 
huyo mhe. diana chilolo hajui anachokiongea ni bora wangemuondoa hapo bunge la katiba
maana anaongea anavyojisikia yeye hawezi kusema hiyo rasimu ni ya warioba wakati
walrioba yeye aliambiwa akusanye maoni ya wananchi anantutukana wananchi kiaina kwa
mgongo wa baba yetu warioba inabidi amuombe msamaha kwani amekosea sana hwezi
kumsema mtu mzima kiasi hicho ilihari yeye analanda kama bintie ameniboa
 
wana ccm wananikera sana yaani wao wanajilinda na maovu yao wanadhani wananchi hatujaamka
TUMEAMKA tunataka maboresho na tunataka nchi yetu ya TANGANYIKA vinginevyo watazizima kabisa
Wachangiaji wa ccm wamegeuka wapiga ramli/wanajimu na kutabiri anguko la Tanzania chini ya mfumo wa s3. Bure kabisa hawa, there is no such thing as science of the future.
 
Unaweza kumfuata mtu uliyedhani anakuongoza vyema, ghafla ukaona anakueleza shimoni utasubiri akutumbukize? Thubutu! Mimi sitaweza kujiangalia natumbukizwa. Ambaye haoni kwamba mtukana waasisi anakosea hata huyo hafai. Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
mpaka ukweli mnaona ni matusi?; ni kweli dhamira njema aliyoumba MMungu imekufa kabisa! Halafu muasisi wa Mataifa, Makabila,Jamaa, lugha, Rangi...ni M'Mungu, hadi amekuamrisha kwamba!; 'Usiruhusu mgeni akutawale asije akakomba kile alichokupa!' wee huoni nyani wa Tanganyika ni MTg na nyani wa india ni muhindi? Tulipokosea ni hapo kumuweka mwanadamu wa damu na nyama eti muasisi wa Taifa hadi tunakariri zidumu fikra zake, ukiona kundi lolote yeye yupo as if ni Mungu! Hadi amepotosha historia kwamba yeye ameleta uhuru wakati Tanganyika baada ya vita kuu no.2 ya dunia ilikuwa Huru toka utawala wa mjerumani!. Waliopigania uhuru wa nchi hii umauti ni kina Mkwawa, Mirambo, Kinjeketile, Kibasila...Nikuulize hawa waliuawa wakiiba kuku? Walikufa kwa kuipigania Tanganyika! Leo mnawaenzi wasanii walio ipiga Teke Tanganyika. Tanganyika itarudi kwa nguvu ya.5 muda utasema!
 
Huyu naye ni kichaa sasa bila kujuwa kwamba kuna vipofu yangeandaliwa maandishi maalum na fimbo nyeupe?

Mimi naona anajidharirisha mwenyewe tu akili ndogo kutumiwa na maccm zile rushwa za ubwabwa sasa tunaona zikifanya kazi.

Nakubaliana na wewe Mkuu.Huyo jamaa (Ali Omar) namjua ni bomu na hana ulemavu wa hivyo - alipata ajali mguu ukatenguka kidogo kajiingiza katika hilo kundi apate huo ubwabwa wa CCM.
 
Kwanza kabisa kila nchi itajisimamia yenyewe ikiamua majimbo yake ya uchaguzi yawe na watu elfu 2 au watu laki 4.
 
nchi washirika zitachangia kwa jinsi zinavyopenda kukuwa. huwezi taka kuwa na mabalozi 10 znz angali inachochangia ni garama za balozi moja.
 
1.kujipatia madaraka maana nafasi zitaku nyingi.2.kuvunja muungano iwe rahisi sana maana ubaguzi utakuwa umeshakolea.3.wazo la kuleta maendeleo lipo kwa umbali sana maana wazalendo wa kweli wamebaki wachache sana.
 
Back
Top Bottom