Jussa ameshindwa kujibu mapigo yule mama asha alimmaliza kumwambia hajaufyatua hana mke wa watt kwa umri wake duuu lazima afyate.
kwa ujumla mpaka sasa sijaona mjumbe wa ccm aliechangia hoja ya maana zaidi ya vijembe,matusi,ubaguzi wa rangi,kejeli,mipasho nk.labda watakapochangi Kangi Lugola,Deo F/kunjombe na Ester Bulaya tutasikia la maana toka upande wa ccm.,Duh,huyo DIANA CHILOLO kaponda au kachangia?
Wasira anamchamba lissu na wenzie
Kwa hiyo ina maana yeye Mpanju alimgusa Mungu machoni ndiyo maana akampiga UPOFU wa macho?! Eti Serikali 3 ni kaburi la Muungano! Huyu Mpanju amekuwa mpiga ramli siku hizi? Nafikiri Mungu hakumpiga UPOFU wa mcho tu, bali pia alimpiga UPOFU WA AKILI!
Lisu yupo juu kuliko Mashahidi wa Yehova.
Akili yako kama ukawa,umepofuta,hata wewe unaamini sahihi ya Karume ni fake?
Skype nimeona kuna post inasema mtikila atachangia jioni bt sina list mkuu
hawa wasisiemu wa serikali 2, laini kama mboga viazi....
Wachangiaji wa ccm wamegeuka wapiga ramli/wanajimu na kutabiri anguko la Tanzania chini ya mfumo wa s3. Bure kabisa hawa, there is no such thing as science of the future.
mpaka ukweli mnaona ni matusi?; ni kweli dhamira njema aliyoumba MMungu imekufa kabisa! Halafu muasisi wa Mataifa, Makabila,Jamaa, lugha, Rangi...ni M'Mungu, hadi amekuamrisha kwamba!; 'Usiruhusu mgeni akutawale asije akakomba kile alichokupa!' wee huoni nyani wa Tanganyika ni MTg na nyani wa india ni muhindi? Tulipokosea ni hapo kumuweka mwanadamu wa damu na nyama eti muasisi wa Taifa hadi tunakariri zidumu fikra zake, ukiona kundi lolote yeye yupo as if ni Mungu! Hadi amepotosha historia kwamba yeye ameleta uhuru wakati Tanganyika baada ya vita kuu no.2 ya dunia ilikuwa Huru toka utawala wa mjerumani!. Waliopigania uhuru wa nchi hii umauti ni kina Mkwawa, Mirambo, Kinjeketile, Kibasila...Nikuulize hawa waliuawa wakiiba kuku? Walikufa kwa kuipigania Tanganyika! Leo mnawaenzi wasanii walio ipiga Teke Tanganyika. Tanganyika itarudi kwa nguvu ya.5 muda utasema!Unaweza kumfuata mtu uliyedhani anakuongoza vyema, ghafla ukaona anakueleza shimoni utasubiri akutumbukize? Thubutu! Mimi sitaweza kujiangalia natumbukizwa. Ambaye haoni kwamba mtukana waasisi anakosea hata huyo hafai. Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Huyu naye ni kichaa sasa bila kujuwa kwamba kuna vipofu yangeandaliwa maandishi maalum na fimbo nyeupe?
Mimi naona anajidharirisha mwenyewe tu akili ndogo kutumiwa na maccm zile rushwa za ubwabwa sasa tunaona zikifanya kazi.