Dah cjamsikia lipumba
Waliomsikia kasemaje jamani
Mkuu, hawawezi kushindana kwa hoja hawa. Na waondoke tuChadema ,cuf na Nccr mageuzi wamekimbia uwanja ngoma nzito kwelikweli imewashinda.
ni baada ya kuwaambia wajumbe watoke nje
Laana ya Lissu kumtukana Mwalimu Nyerere imeanza kufanya kazi rasmi!