Mkuu zoezi likianza nistue nije niongeze nguvu tumechoka na ujinga wao.Mimi niko apa kwenye geti la ukumbi wa msekwa wanakogawana hizi posho zetu, wakianza kutoka nawabana watupe chetu
Warudishe posho zetu kwanza wehu hao
Wewe ni nani pale UN? Zaidi ya kujificha migombani uchaggani unakula mbege tukisheria kama hati hii ni ya kweli basi ilitakiwa iwepo kama kiambatanisho umoja wa mataifa wakati tanzania inasajilia. Lakini cha kushangaza umoja wa mataifa wanasema hawana hati yoyote ile inayotambua muungano kati ya tanganyika na zanzibar zaidi ya barua tu kuonyesha wao wameungana
wewe ni nani pale un? Zaidi ya kujificha migombani uchaggani unakula mbege tu
Dayana chilolo anasema;
Mimi napenda kuwa mkweli, hii rasimu sijaielewa. nlifika mahari nikakasirika baadae nikasema labda huu ndo utashi wa warioba. wewe una mwanamke mmoja umeshindwa kumvalisha watoto wameshindwa kusoma unataka kuongeza mke wa pili wewe una akili kweli? nasema umepungukiwa.
Serikali ya muungano ipo chini ya makamu wa rais. rais ambaye ni mzanzibar je hajui matatizo yao.
Ngoja niwaseme CHADEMA. Tundu lissu aliwakataa wazanzibar hapa Bungeni kwamba wazanzibar wanatufirisi wanatunyonya sasa leo hii ndoa ya zanzibar na chadema imetoka wapi?
Watanzania wanahitaji barabara maji nahuduma mbalimbali na wafanyakkazi wanahitaji mishahara iboreshwe sio Muungano. Wazanzibar mnataka sultan arudi?
Wengine wamefikia hatua ya kuwabeza hadi wasisi wetu. kwanini wasisimame kuwataka radhi watanzania hapa ndani? wakina walioba wamekua maarufu kuliko nyerere na karume?. watanzania wanahasira inabidi hawa watu wasimame waombe radhi.
Wanadai Tanganyika imepotea. Mtu akiolewa mfano magret sitta anatumia jina lako lakini la baba yake lipo inamaana nyinyi ni mwili mmoja.
Tunu za taifa tusiliache swala la jinsia, hilo ni tunu? Wakina mama ni tunu la taifa. je wanaume mungekua peke yenu humu ndani mungefurahi?
Twaachie watanzania serikali mbili.
Jisemee wewe acha kujifanya wee ni msemaji wa wananchi
Nashangaa nimefungulia Tv jioni hii nikakutana na ngonjera tu za waimba tarabu.
Vipi kuna nini kimetokea bunge kugeuka ukumbi wa taarabu?
.
Na wakimaliza kuitengeneza wataitumia wenyewe kwenye chama chao sisi hatutaikubalitumewaachia watengeneze katiba ya ccm
Mmevurugwa na huo ukawa wenu...mtajijuuuvichwa vya ukawa na wote wanaounga mkono rasimu ya serilkali 3 wameondoka.. kwa hiyo bunge zima limegeuka kuwazungumzia ukawa badala ya kujadili ibara ya 1 na ya 6.. Bunge limegeuka kabisa sasa ni mipasho.. wenzetu wenzetu.. wametoka... wenzetu hv yaani ni aibu kabisa kabisa...
kwa staili aliyoanza nayo sitta, hakuna shaka kwamba lazima angeshindwa tuu, mwanzo tulimshauri aliongoze bunge kujikita ktk mjadala ambao ni rasimu ya katiba, sitta aliruhusu wabunge kuvunja sheria no 83 ya mabadiriko ya katiba iliyokua imeanzisha tume ya mabadiriko ya katiba na majukumu yake, vile vile sheria hiyo ilianzisha bunge maalum la katiba na majukumu yake, kitendo cha kuikataa rasimu sitta hakujua kwamba msingi wa uenyekiti wake ni rasimu ya tume, anapenda kuendelea kuwa mwenyekiti wakati msingi uliomweka anauvunja, tuna kila sababu ya kutomwamini sitta kamwe, kwa lengo la urais angefanikiwa angesimama ktk misingi ya tume kuongoza bunge, hongereni ukawa kwa kuonyesha wazi kwamba hakuna katiba,,,,,,,,,