Heko UKAWA. Huo ni uamuzi makini.
Waacheni hawa mashetani na masokwe ya lumumba yaendeleze uongo na fitna.
Hivi UKAWA walitarajia kukubalika kila kitu.ndio mjadala unaanza wao wanakimbia maoni ya wengine.si busara kabisa kukimbia bunge kwa sababu hoja zako hazikubaliki.baki ndani uendelee kujenga hoja kisayansi.pia endapo unasusia kazi rudisha fedha na nyaraka zote ulizochukua wateuliwe wengine hasa kundi la 201