Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Mimi niko apa kwenye geti la ukumbi wa msekwa wanakogawana hizi posho zetu, wakianza kutoka nawabana watupe chetu
Mkuu zoezi likianza nistue nije niongeze nguvu tumechoka na ujinga wao.
 
:israel::rapture:acheni kumukufuru mungu nyie nyerere ni nani hata mungu alisema utukufu wake hata mupa m2 na hat yesu alikata kuitwa mtakatifu je jkn nani m2 2 km watu wengne ana mabaya na mema alotenda co munamuabudu 2:rapture: :israel:
 
kwa staili aliyoanza nayo sitta, hakuna shaka kwamba lazima angeshindwa tuu, mwanzo tulimshauri aliongoze bunge kujikita ktk mjadala ambao ni rasimu ya katiba, sitta aliruhusu wabunge kuvunja sheria no 83 ya mabadiriko ya katiba iliyokua imeanzisha tume ya mabadiriko ya katiba na majukumu yake, vile vile sheria hiyo ilianzisha bunge maalum la katiba na majukumu yake, kitendo cha kuikataa rasimu sitta hakujua kwamba msingi wa uenyekiti wake ni rasimu ya tume, anapenda kuendelea kuwa mwenyekiti wakati msingi uliomweka anauvunja, tuna kila sababu ya kutomwamini sitta kamwe, kwa lengo la urais angefanikiwa angesimama ktk misingi ya tume kuongoza bunge, hongereni ukawa kwa kuonyesha wazi kwamba hakuna katiba,,,,,,,,,
 
kisheria kama hati hii ni ya kweli basi ilitakiwa iwepo kama kiambatanisho umoja wa mataifa wakati tanzania inasajilia. Lakini cha kushangaza umoja wa mataifa wanasema hawana hati yoyote ile inayotambua muungano kati ya tanganyika na zanzibar zaidi ya barua tu kuonyesha wao wameungana
Wewe ni nani pale UN? Zaidi ya kujificha migombani uchaggani unakula mbege tu
 
Nashangaa nimefungulia Tv jioni hii nikakutana na ngonjera tu za waimba tarabu.
Vipi kuna nini kimetokea bunge kugeuka ukumbi wa taarabu?
.
 
:israel::rapture:acheni kumukufuru mungu nyie nyerere ni nani hata mungu alisema utukufu wake hata mupa m2 na hat yesu alikata kuitwa mtakatifu je jkn nani m2 2 km watu wengne ana mabaya na mema alotenda co munamuabudu 2:rapture: :israel:
 
Kuna mbibi anakataaa kuwa kikwete akienda zanzibar hapangi foleni (yaani hawi nyuma ya shein) daaah kwa kweli waliobaki ni aibu kabisa.. Sasa anakataa katika katiba yao kuwa rais wa zanzibar ni amiri jeshi mkuu...
 
Rasimu haielewi huyu mama na kila siku yupo Mjengoni analamba laki tatu. Kweli nchi hii kuna watu wanakula bila jasho. kachaguliwa kwenda kujadili kitu ambacho kasoma na kashindwa kuelewa. Kwa hiyo yeye kenda uko kufurahia mipasho ya wenzake wa ccm na akishafurahi na kupiga makofi laki tatu imeingia.
Hapa kwa jinsi hii tutegemee katiba nzuri wakati kuna watu hawaelewi kile kinajadiliwa
Dayana chilolo anasema;
Mimi napenda kuwa mkweli, hii rasimu sijaielewa. nlifika mahari nikakasirika baadae nikasema labda huu ndo utashi wa warioba. wewe una mwanamke mmoja umeshindwa kumvalisha watoto wameshindwa kusoma unataka kuongeza mke wa pili wewe una akili kweli? nasema umepungukiwa.

Serikali ya muungano ipo chini ya makamu wa rais. rais ambaye ni mzanzibar je hajui matatizo yao.

Ngoja niwaseme CHADEMA. Tundu lissu aliwakataa wazanzibar hapa Bungeni kwamba wazanzibar wanatufirisi wanatunyonya sasa leo hii ndoa ya zanzibar na chadema imetoka wapi?

Watanzania wanahitaji barabara maji nahuduma mbalimbali na wafanyakkazi wanahitaji mishahara iboreshwe sio Muungano. Wazanzibar mnataka sultan arudi?

Wengine wamefikia hatua ya kuwabeza hadi wasisi wetu. kwanini wasisimame kuwataka radhi watanzania hapa ndani? wakina walioba wamekua maarufu kuliko nyerere na karume?. watanzania wanahasira inabidi hawa watu wasimame waombe radhi.

Wanadai Tanganyika imepotea. Mtu akiolewa mfano magret sitta anatumia jina lako lakini la baba yake lipo inamaana nyinyi ni mwili mmoja.

Tunu za taifa tusiliache swala la jinsia, hilo ni tunu? Wakina mama ni tunu la taifa. je wanaume mungekua peke yenu humu ndani mungefurahi?

Twaachie watanzania serikali mbili.
 
Jisemee wewe acha kujifanya wee ni msemaji wa wananchi

.......kamwe "shetani" hata shinda Duniani !!!!

Lucifer_the_Devourer_face_by_skullbeast.jpg
 
===>Kwa atakaekuwa na Audio ya Lukuvi aliyozungumza kanisani aiweke hapa,
===>Namuonea huruma sana huyu Mzee Lukuvi,alikuwa anajifanya yeye ni mnazi sana wa Magamba,sasa subiri uone jinsi atakavyotolewa kafara na wenzake,laana za watanzania wengi zimemuangukia,naaamini atasahaulika kisiasa muda si mrefu.
 
:evil:😛hoto:siku kknuka wanajeshi waingilie mtafurahi wewe tmechoka na ujinga kudadeki alafu na cye wabongo timezidi uzombi bana:baby::der:😛eace:😛eace:
 
Nashangaa nimefungulia Tv jioni hii nikakutana na ngonjera tu za waimba tarabu.
Vipi kuna nini kimetokea bunge kugeuka ukumbi wa taarabu?
.

vichwa vya ukawa na wote wanaounga mkono rasimu ya serilkali 3 wameondoka.. kwa hiyo bunge zima limegeuka kuwazungumzia ukawa badala ya kujadili ibara ya 1 na ya 6.. Bunge limegeuka kabisa sasa ni mipasho.. wenzetu wenzetu.. wametoka... wenzetu hv yaani ni aibu kabisa kabisa...
 
Kama Sitta kashindwa kuongoza bunge la katiba atawezaje kuongoza nchi ya watu milloni 45? Urais atausikia kwenye bomba tu kama hao wenzie!!!!
 
du uyo shetan anatisha kaniogofya haswa:behindsofa::msela:du mtoe bwana uyo shetani wako
 
vichwa vya ukawa na wote wanaounga mkono rasimu ya serilkali 3 wameondoka.. kwa hiyo bunge zima limegeuka kuwazungumzia ukawa badala ya kujadili ibara ya 1 na ya 6.. Bunge limegeuka kabisa sasa ni mipasho.. wenzetu wenzetu.. wametoka... wenzetu hv yaani ni aibu kabisa kabisa...
Mmevurugwa na huo ukawa wenu...mtajijuuu
 
kwa staili aliyoanza nayo sitta, hakuna shaka kwamba lazima angeshindwa tuu, mwanzo tulimshauri aliongoze bunge kujikita ktk mjadala ambao ni rasimu ya katiba, sitta aliruhusu wabunge kuvunja sheria no 83 ya mabadiriko ya katiba iliyokua imeanzisha tume ya mabadiriko ya katiba na majukumu yake, vile vile sheria hiyo ilianzisha bunge maalum la katiba na majukumu yake, kitendo cha kuikataa rasimu sitta hakujua kwamba msingi wa uenyekiti wake ni rasimu ya tume, anapenda kuendelea kuwa mwenyekiti wakati msingi uliomweka anauvunja, tuna kila sababu ya kutomwamini sitta kamwe, kwa lengo la urais angefanikiwa angesimama ktk misingi ya tume kuongoza bunge, hongereni ukawa kwa kuonyesha wazi kwamba hakuna katiba,,,,,,,,,

kama wewe ni mwanasiasa basi umavulugwa,kama weqwe ni mshabiki wa siasa basi hujielewi,shabikia ujenzi wa viwanda tupate ajira vijana na sio kushabikia kuvunjika kwa bunge utaambulia nini? wanaotaoka nia yao ni kupata sehemu ya kujipa madaraka,wewe? jitambue,shabikia lililojema na sio kushabikia ujinga,
 
Back
Top Bottom