isack saguda
New Member
- Dec 20, 2013
- 4
- 0
Waliobaki ni the komed
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, umenifanya nicheke sana mkuu hata wwashikaji nimewaonyesha hapa mwingine kapaliwa na maji... hahaaaaaaaaaaaaaaa
kula like 10000
===>Linganisha na ya Lukuvi majibu utayapata sijui FaizaFoxy Ritz na CHAMVIGA wanasemaje kuhusu haya matamko na imani zao?Mh. Majaliwa Kassim Majaliwa,
Anasema ni mjumbe kati ya wajumbe 201 na ni mwakilishi wa taasisi ya Anglikana na ameagizwa na askofu kusema haya,
Muundo wa mamlaka kamili ya tanzania yawe ya muungano wa s2.
Hivi hii tbc ina uwezo wa kuonyesha world kapu??
Taja hayo maneno mabaya aliyosema sio unakurupuka tuHivi hawa watu wanaojita UKAWA wanafikilia kweli vichwani mwao,wananchi mpaka saizi hatujawaelewa bado ni kitu gani hasa kilicho wafanya msuse bunge kwa sababu Mh Lipumba hoja alizotoa mimi naona kama ni za kitoto eti anasema wamechoka kubaguliwa , kunyanyaswa na kutukanwa wanasahau kujiuliza mbona na wao walivyo kuwa wanawatukana wenzao walivumilia mfano mzuri ni MH TUNDULISU alikuwa anatoa maneno mabaya dhidi ya upande wa wapili mbona hatukuona wanasusa bunge hata wao yalikuwa yanawauma lakini walivumilia .UKAWA kaeni mjitafakari na mjichunguze wenyewe kwanza na mjisahihishe najua mtarudi mbungeni hizo ni mbwembwe tu,UKAWA jiulizeni mmetumia kiasi gani cha kodi ya wananchi kwa siku mlizo kaa eti leo mtoka bungeni kizembezembe wananchi hatujawaelewa mpaka saizi rudini bungeni mkashindane kwa hoja ndio maana jamii inawona kama mna lenu jambo .Nawasilisha
Basi kama hawajiwezi, si wakubaliane na serikali moja? Hao wabunge unaowasikia ni wanafiki tu, na wengi wao hawatarudi 2015 kutokana na hasira walizinazo wananchi wengi wa Zanzibar.
I would suggest vyama vya upinzania visiishie hapa, viungane viunde chama kikubwa chenye nguvu
....
.....Udhaifu wa Akili Kichwani... (UWAKI) ni Hatari kwa Afya ya Taifa letu
![]()
babtutuHivi hii tbc ina uwezo wa kuonyesha world kapu??
Its very strange mjumbe wa bunge maalum la katiba anatumia dk zake zote za kuwakilisha hoja yake bungeni kwa kumchambua na kumuelezea mjumbe mwingine
Mkuu Tundu Lissu chukueni ushauri huu maridhawa
Leo kimetokea kituko baada ya wale wanafiki wenye lengo baya na Tanzania kutoka nje baada ya kuonyeshwa mkataba wa muungano.
Wanafiki hao walipigwa na butwaa baada ya kuona mkataba huo live bila chenga. Ndipo walipoona wamefilisika kwa hoja na kukimbia.
kumbe ukawa walitoka bungeni?