Mkuu tatizo lenu ukawa mnawaza madaraka mda wote baada ya kuona hoja ya serikali tatu haina mashiko sasa mnahangaika kama watu waliokwenye mafuriko.
Kwa sasa watanzania siyo watu wakupotoshwa na wanasiasa wahuni kama hawa wenye maslahi binafsi na familia zao.
Tangu uwe uakawa umejifunza nini zaidi ya kujua matusi na kejeli?
Kwa mujibu wa radio Ntarahamwe (clouds)
UKAWA n wanafik wakubwa wale,wamechukua POSHO leo saa Tano na nusu na wamechukua pesa mpaka tr 31/4..kama walikuwa na lengo la kutoka y wasingetoka jana na kwannn wasiache zile pesa warud kwetu tuwaamin kama wapo kwa ajil ya waTz???ukawa n wahuni wote niseme hvo na wanatarajia sympath yetu wananchi wanashindwa elewa kuwa chaguz ndogo zote zilizopita CCM imewaburuza mbaya wapinzani.maskin upinzan hauna dira
Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
I would suggest vyama vya upinzania visiishie hapa, viungane viunde chama kikubwa chenye nguvu
Mbona sasa cdm mmekua cuf ya Tanganyika! Sio tume huru ya uchaguzi inayofanya mnashindwa uchaguzi, ila hamjakubalika wala kuaminika na wapiga kura. Kila wakati mnakua na mkakati wa ovyo. Hivi kuvunja jamhuri ya muungano wa tanzania kwa kuweka serikali legelege ya muungano na kumtukana muasisi wa taifa ndio itawaongezea wafuasi nchini?
Leo kimetokea kituko baada
ya wale wanafiki wenye lengo baya na Tanzania kutoka nje baada ya
kuonyeshwa mkataba wa muungano.
Wanafiki hao walipigwa na butwaa baada ya kuona mkataba huo live bila
chenga. Ndipo walipoona wamefilisika kwa hoja na kukimbia.
....
.....Udhaifu wa Akili Kichwani... (UWAKI) ni Hatari kwa Afya ya Taifa letu !!!
urojo tu...unahemka bila hoja...toa akilini mwako na sio maneno ya mhuni wassira aliyemkimbia Nyerere na sasa anajisahau kuwa ndiye mtetezi..
wewe 'uzao wa interahamwe' = akili zenu wote zile zileeee! unatafuta tu 'nkononi-tumboni' yaani shibe ya siku! useless you!
....
.....Udhaifu wa Akili Kichwani... (UWAKI) ni Hatari kwa Afya ya Taifa letu !!!
Hawa jamaa hawana jipya kabisa ni bora waache siasa kabisa wanakera sana.