chogomzingwi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 240
- 21
Tangu wametoka bunge limekuwa na nidhamu ya hali ya juu kumbe chadema na cuf ndiyo tatizo wakafie mbali kabisa tumechoka na vurugu zao.
Kwa sababu interahamwe wameteka bunge la katiba.
Teh teh teh, mi nakaa kimya.
kama kuna MUNGU wa kikristu na kiislamu basi upo sawa!!
Tangu wametoka bunge limekuwa na nidhamu ya hali ya juu kumbe chadema na cuf ndiyo tatizo wakafie mbali kabisa tumechoka na vurugu zao.