chogomzingwi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 240
- 21
Tangu wametoka bunge limekuwa na nidhamu ya hali ya juu kumbe chadema na cuf ndiyo tatizo wakafie mbali kabisa tumechoka na vurugu zao.
mjidanganye tu ,lazima kieleweke na mamluki mtakubali tu muziki wa ukawa