Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

acha uongo - tbc gani hiyo - mbona jusa anaendelea kutiririka tbc
 
Mbona mimi namwona hapa tune dstv mambo ya Digital yako huku.
 
Mjumbe wa bunge malumu la katiba mpanju ameendelea kutafuta huruma kwa kutumia ulemavu wake, baadhi ya wajumbe walisema yafuatayo kuhusu huruma ya mpanju anayotafu kwenye jamii, huwezi ukawa mjinga kama mpanju halafa ukatafuta huruma kwenye jamii kwa kisingizio cha ulemavu

huyu jamaa siku zote yeye na mawazo ya ccm hana jipya.
 
Baada ya maoni ya kipofu Mpanju sasa nimegundua ni kwanini Idd Amini alikuwa anawapakia kwenye lori na kuwamwaga mto Kagera.
 
Jumapili Ijayo Askofu Mkuu Zakary Kakobe atazungumzia Mstakabali wa siasa katika Taifa hili. Nimeshangaa kuona habari hizi zime enea Kwenye Vikao vya CMM na watawala wanahofia mchango wake juu ya Serikali tatu.

Sisi tulioko mikoani tunategemea Waandishi wa habari watatuletea kitakachojiri hapo Mwenge DSM maana nakumbuka sana Suala la Kitimoto lilivyohujumiwa huku PASCAL MAYALLA akishuhudia kwa macho yake!!
 
Wanotaka serikali tatu zanzibar wanataka kurudisha serikali ya kiarabu.
 
Baada ya maoni ya kipofu Mpanju sasa nimegundua ni kwanini Idd Amini alikuwa anawapakia kwenye lori na kuwamwaga mto Kagera.
Hivi wewe na Kayoka mna ajenda gani na walemavu? Kama hoja ni kupinga mfumo wa serikali tatu, ni wasio walemavu wangapi wamepinga na mmekaa kimya?
 
Kwani mtu akiwa mlemavu hawezi kuwa mfuasi wa chama cha siasa? Mbona mbunge wa Lindi mjini ni mbunge wa kuchaguliwa kwa tiketi ya CUF?
Huyu wa Lindi si mnafki anawakilisha wapiga kura wa Lindi waliomchaguwa na anajulikana yeye ni cuf.

mnafki ni huyo kipofu ambaye anatakiwa awakilishe vipofu wenzanke badala yake na anajiunga kukata mauno kwenye mdundiko wa ccm, haya ndiyo aliyotumwa na vipofu wenzanke?
 
Jussa: Singapore ilipojitenga na Malyasia 1959 ilikuwa GDP 400 $ ..1990 ikiwa 12, 200 $ , 1999 ikapanda 22, 000 $ leo 60, 000 $
 
Huyu wa Lindi si mnafki anawakilisha wapiga kura wa Lindi waliomchaguwa na anajulikana yeye ni cuf.

mnafki ni huyo kipofu ambaye anatakiwa awakilishe vipofu wenzanke badala yake na anajiunga kukata mauno kwenye mdundiko wa ccm, haya ndiyo aliyotumwa na vipofu wenzanke?
Kwani kipofu hawezi kuwa mwanachama wa CCM? Mkuu, kama swala ni kuwakilisha makundi ya kijamii, mbona Mwalimu Ezekiel Oluoch ni mfuasi na anatetea matakwa ya CHADEMA?
 
Back
Top Bottom