Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pima cd4 coz viruses wako wanaonekana kushambulia sehmu za ubongo. Ndio maana unapoteza kumbukumbu kisha uwahi kulala na mazoezi ni muhimDah kweli kabisa. Yani hata mashine kama Robot au production lines zinautashi kidogo kuliko huyu mtu mropokaji kama mwehu.
Zitto coming up next baada ya Fathiya..
Dada, hata mie nasikitika sana ninaposoma comments za Kayoka. Mungu amsamehe. Hajui atendalo
Hakika Zitto ni hazina kwa taifa hiliNi wakati sasa wa kumsamehe Zitto.
Hivi wewe na Kayoka mna ajenda gani na walemavu? Kama hoja ni kupinga mfumo wa serikali tatu, ni wasio walemavu wangapi wamepinga na mmekaa kimya?
Usilitaje bure jina la Mungu wakoMungu amsamehe kwanza huyo kipofu ndipo aje kwangu.
Una mtetea kwa kuwa anashabikia ccm eeeh!
Yeye kama mwakilishi wa walemavu hakutakiwa kufanya yale anayoyafanya.
Huyu wa Lindi si mnafki anawakilisha wapiga kura wa Lindi waliomchaguwa na anajulikana yeye ni cuf.
mnafki ni huyo kipofu ambaye anatakiwa awakilishe vipofu wenzanke badala yake na anajiunga kukata mauno kwenye mdundiko wa ccm, haya ndiyo aliyotumwa na vipofu wenzanke?