Kijana leo
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 2,861
- 810
dadavua, ubaguzi wa rangi kwa nani? na ilikuwaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HEKOOO JUSSA KWA KUTOJIBU MATUC ,IVI KWELI HAO CCM WA ZNZ HUMO BUNGENI HAWAJUI UMUIMU WA KUWA NA NCHI YAO YENYE MAMLAKA KAMILI?cpati jibu
Nafikiri mleta uzi kasikitika sana kiasi hawezi hata kuandika vizuri!dadavua, ubaguzi wa rangi kwa nani? na ilikuwaje?
Hawa wanaowaponda akina Jussa watakuwa salama kweli wakirudi Zanzibar?
Hee wewe unaangalia bunge gani? Hivi matusi ya Lisu ndio hoja na usomi, kama hujui huo ni upumbafu na kifo kisiasa.
na hutaamini na kuelewa kamwe with reference kwa kil huyo kipofu alichokisema leo,juzi na siku za nyuma kwenye bunge hili la katiba.!