Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Jibu hoja acha kujifanya hujaelewa kilicho andikwa,,tatizo la wana ccm akili ndogo hadi matia kinyaa UKAWA NI WATETEZI WA MAONI YA WANANCHI CCM NI WATETEZI WA MATUMBO YA WAKUBWA WACHACHE WANA WAPEKELESHA BUNGENI KWA KUWATAKA MFUATE MATAKWA YAO. RUBISH WANA CCM MLIO SHIKIWA AKILI NA WASIRRA NA KUNDI LAKE.TUMIENI AKILI ZENU ACHEN UJUHA NYIE ,MTAAMLIWA HADI LINI.??
Sidhani unajua kinyaa.hata UKAWA hawana hoja punguani kama zako
 
Hizi ndio hoja zenu.si majifahamu!

Hi kauli ya ukawa kuwakilisha maoni ya waliowengi ndio inaonekana kama silaha ya UKAWA ulifatilia mchango wa Prof Remmy leo? kimsingi anasema yeye kabla kufika Dodoma alikuwa na msimamo waserikali 3 lakini baada ya kutafakari kwa kina na hasa alipochambua takwimu akaona hazina uhakisia,mf idadi kubwa ya watu waliotoa maoni ya muundo wa serikali 3 ni kutoka mikoa ya kigoma na Dar,

Maana yake maeneo mengine ya inchi wananchi tatizo lao sio muundo wa serikali, bali mambo mengine ya msingi katika maisha yao mathalani afya, kilimo, ardhi n.k, pia katika takwimu za tume zinaonyesha kuwa katika waliotoa maoni yao wapo mpaka watoto ambao hawajatimia umri wa miaka 18 ambao kimantiki uwezo wao wa kuchambua mambo bado uko chini na wenyewe wanafika kati ya 5% na 7% katika maeneo mengine, sasa kitakwimu hizi data hawezikutumiwa kufanya hitimisho kubwa la muundo kama lile ambalo tume imelifanya.

Minakubaliana na uchambuzi huu wa Prof Remmy kwa sababu una mashiko na hauko biased.
 
Ukistajabu ya musa utayaona ya firauni, kwa mara ya kwanza nimeshudia wabunge wa chama tawala wakiwemo na mawaziri wakiwa wanashangilia ubaguzi wa rangi, nimeshudia kwa macho yangu mawaziri na wabunge wakishangilia mambo haramu kama haya, nimeuzunisha sana lkn tukiendelea kushabikia mambo kama haya mbele naona giza ukizoea kula nyama ya mtu uutaacha kula tena utaendelea kula kila wakati mwl
mkuu usishangae-aina ya amani wanayoihubiri watawala wetu wanaijua wenyewe tu.
 
Hi kauli ya ukawa kuwakilisha maoni ya waliowengi ndio inaonekana kama silaha ya UKAWA ulifatilia mchango wa Prof Remmy leo? kimsingi anasema yeye kabla kufika Dodoma alikuwa na msimamo waserikali 3 lakini baada ya kutafakari kwa kina na hasa alipochambua takwimu akaona hazina uhakisia,mf idadi kubwa ya watu waliotoa maoni ya muundo wa serikali 3 ni kutoka mikoa ya kigoma na Dar,

Maana yake maeneo mengine ya inchi wananchi tatizo lao sio muundo wa serikali, bali mambo mengine ya msingi katika maisha yao mathalani afya, kilimo, ardhi n.k, pia katika takwimu za tume zinaonyesha kuwa katika waliotoa maoni yao wapo mpaka watoto ambao hawajatimia umri wa miaka 18 ambao kimantiki uwezo wao wa kuchambua mambo bado uko chini na wenyewe wanafika kati ya 5% na 7% katika maeneo mengine, sasa kitakwimu hizi data hawezikutumiwa kufanya hitimisho kubwa la muundo kama lile ambalo tume imelifanya.

Minakubaliana na uchambuzi huu wa Prof Remmy kwa sababu una mashiko na hauko biased.
Mkuu hata mie ninakubaliana nae ila kinachonisikitisha ni kuwa na double standard katika matumizi ya takwimu.Kama tukisema waliotoa maoni au waliotaka serikari 3 ni wachache basi kwa mtazamo huo huo hatukuwa na sababu ya kutangaza Ridhiwani kuwa mbunge wa chalinze,same to our presedent.na kadhalika
 
Hi kauli ya ukawa kuwakilisha maoni ya waliowengi ndio inaonekana kama silaha ya UKAWA ulifatilia mchango wa Prof Remmy leo? kimsingi anasema yeye kabla kufika Dodoma alikuwa na msimamo waserikali 3 lakini baada ya kutafakari kwa kina na hasa alipochambua takwimu akaona hazina uhakisia,mf idadi kubwa ya watu waliotoa maoni ya muundo wa serikali 3 ni kutoka mikoa ya kigoma na Dar,

Maana yake maeneo mengine ya inchi wananchi tatizo lao sio muundo wa serikali, bali mambo mengine ya msingi katika maisha yao mathalani afya, kilimo, ardhi n.k, pia katika takwimu za tume zinaonyesha kuwa katika waliotoa maoni yao wapo mpaka watoto ambao hawajatimia umri wa miaka 18 ambao kimantiki uwezo wao wa kuchambua mambo bado uko chini na wenyewe wanafika kati ya 5% na 7% katika maeneo mengine, sasa kitakwimu hizi data hawezikutumiwa kufanya hitimisho kubwa la muundo kama lile ambalo tume imelifanya.

Minakubaliana na uchambuzi huu wa Prof Remmy kwa sababu una mashiko na hauko biased.
Mambo ya ajabu sana.takwimu za kupotosha.hata waliohojiwa walilengwa kwa makusudi ya kupata matokeo fulani.inaelekea
Mzee Warioba aliingizwa mjini na wajanja fulani aliowaamini kwenye Tume.unajua tena,tume ilikuwa na watu wa aina yake.
Cha ajabu Tume haikupiga kura hata mara moja.Wale waja nja walikuwa wameshatumbukiza mambo
 
Ni kweli mkuu, kitendo cha amirijeshi kusema jeshi litachukuwa nchi kama katiba itaamua muundo wa serikali tatu na kwakuwa Lukuvi amem-second mkulu, katika ulimwengu wa roho ni kwamba ibilisi amepewa kibali na kawaida yake huwa hachelewi, ameshaanza maandalizi....bahati mbaya mabaya yakitokea kwa sababu ya upofu wa wanasiasa wanaoumia ni innocent citizens.

Kwahiyo ni wakati muafaka kuunganisha nguvu ili kubatilisha mipango ya ibilisi kabla hayajafikia hypnotic rhythm. Kiranga et al kuja huku kabla hatujachelewa

Mimi niliandika hapa kwamba rais kuliongelea hili tu kunaonyesha alivyo hamnazo.

Kuna vitu vingine hutakiwi hata kuviongelea in passing, lest you tempt the adventurous.
 
Last edited by a moderator:
Prof Remmy...ametumia muda mfupi kuchambua LAKINI ndani ya tume kulikua name Maprof was kutosha tu waliotumia muda mrefu kuvhambua name kuainisha...sasa yeye ili alinde uaminifu kwa aliemteua ilibidi apotezee kwa mkwala was wazo la s3 na kujifanya amebadili baada ya kusoma no mwongo mbona Rasimu IPO muda mrefu katika mtandao huu si uongo was wazi.....
 
Lakini kwa nini wachukue posho kwanza?Kama kugomea wangegomea tangu mwanzo....upinzani itakuwa vigumu kuaminiwa na watu.......kwani hiyo rasimu ni muundo wa muungano peke yake?hakuna mambo mengine ambayo ni muhimu kwa wananchi ambayo yanahitajika katika katiba mpya?i cant support bunch of foolery

..wangegomea tangu mwanzo wangeambiwa they gave up without trying.

..muungano ndiyo jambo muhimu kuliko yote. masuala mengine yanaweza kubadilishwa thru' ammendments, hayahitaji bunge la katiba.

..in politics u take a stand and hope the ppl will support u. sasa wako wengine wanasupport move ya wapinzani, na wengine kama wewe hawasupport.

..sasa mpira uko kwa CCM kufanya kazi ya kuwapatia wananchi katiba bora.
 
Naanza kwa swali, kati yetu humu jamvini nani alitoa maoni kwa Tume?

Kama tunaipenda nchi lazima tulishiriki vinginevyo ni wanafiki.
Mie nilitoa nikipendekeza serikali moja, ila kwakua haikuungwa mkono na wengi naheshimu mtazamo wa wengi yaani serikali 3.
Dr. Remy mwongo, kama waliotoa maoni walikua watoto kiumri kwanini maoni yao kwenye mambo mengine yawe na maana lakini kwenye muundo wa Muungano yasiwe na maana??
CCM wote, wanaiogopa serikali 3 na hawana hoja, Jana Zitto kawajibu vizuri kwamba Muungano ni Maridhiano ya watu si viongozi.
Kundi la G55 liliundwa na wana CCM, akiwemo Lowassa, leo hii kimaslahi wako serikali 2, wanafiki hawa.
Wanatoa mipasho ya kanga bila kutafakari, hebu sikilizeni mpasho huu...
"Ukiwa na wake wawili wakakushinda, unaongeza mke wa tatu"?
Kwa maneno hayo, serikali mbili zimewashinda, mbona wanazing'ang'ania?
 
Kwa wale wenye scope ya siasa mwisho dodoma, watawashangaa Ukawa kutoka nje, ila wenye scope hiyo kimataifa wanaelewa na kuona Ukawa wako sawa.
Hata Obama hutoka nje kama kuna namna hajakubaliana na wenzie katika jambo muhimu, ila ukitazama mwisho dodoma hautanielewa
 
Dhuluma hii ina mwisho na wala si mbali.

Hakuna mbunge yeyote wa CCM au Upinzani aliyefanya mikutano na wananchi wake wampe mawazo kuhusu suala lolote la katiba.
Tume pekee ndio imefanya kazi ya kuleta maoni ya wananchi. Mwenye akili atayaheshimu mawazo ya tume maana ndio ya wananchi. Waongo wa ccm walikaa chamwino wakaandika mawazo yao wakayaita ya wananchi wote.
Wenye busara wa Ukawa wakaona kwakuwa tunawawakilisha wananchi tutetee maoni yao.
 
Back
Top Bottom