Chabruma
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 5,660
- 1,780
- Thread starter
- #21
Nashukuru mkuu.unajua kwenye huu mchakato wa katiba, interest za kisiasa huwezi kuziepuka. Mkuu, kwa nini hujajiuliza waliolalamoka kuwa muda wa warioba hautoshi ni Lissu, Mtatiro na Zitto. Hao wote unajua wanatoka chama gani. Pia umesikiliza majibu ya Sitta. Pia najua unafahamu anatoka chama gani. Kwa hiyo hapo ni SISI vs WAOAsante mkuu