Yanayojiri bungeni Dodoma: Jumatatu 17 machi 2014-Viapo kwa wajumbe, Jaji Warioba Kuwasilisha Rasimu

Yanayojiri bungeni Dodoma: Jumatatu 17 machi 2014-Viapo kwa wajumbe, Jaji Warioba Kuwasilisha Rasimu

List ipo kwa uongozi wa bunge, ni vigumu kwa mtu wa kawaida kufahamu unless uombe upewe majina ya walio bado kuapishwa...........lakini sio wengi sana; sana sana wale walioenda jana uchaguzini kalenga wale ambao hawajaapishwa tu!

Usiumize kichwa ndg yangu!
Ni kweli kabisa mkuu
 
Inaamaana rais hakujua kuwa lazima afungue bunge? keeli jamaa anapenda safari na huyo sita hakushauriana na rais mapema?
 
Naomba kuweka hisia zangu wazi kuwa mchakato wa kupata katiba mpya inayotokana na maoni ya wananchi umevurugika hasa baada ya mambo ya uvyama kutawala mchakato mzima mpaka sasa.

hapo umenena mkuu
 
Hivi hili jina Tanzania bara ni kitu gani? ni nchi au ni muunganiko wa Tanganyika bara na Zanzibar bara?

Tanzania bara haina maana nyingine yoyote ile zaidi ya kuonyesha kuwa ni sehemu iliyo mbali na ukanda wa bahari. Wengine huita jina hilo wakimaanisha kuwa ni kinyume cha tanzania visiwani
 
Habari ya kazi wadau wote wa jukwaa hili pendwa amani kwako chabruma na wengine wote nimefanikiwa kufika hotelini alipo warioba hana furaha kabisa sijui hii inasababishwa na nini ngoja tuone jioni atawasilisha rasimu kwenye hali gani.

Kiukweli mzee yuko down sana hana raha kabisa lakini anaendelea kufanya mandalizi ya kuja kuwasilisha hotuba yake.
 
Umeona ee? Na kwa mtiririko huu wa matukio ya uvyama bunge movie nashawishika kusema kua wana bunge movie watashikana mashati muda si mrefu.
Hili bunge haliwezi kufika huko linawatu wenye akili zao na uwezo wa kutafakali mambo kabla hayajawa mabaya.
 
Kwanini Warioba ahutubie kabla ya Bunge kuzinduliwa na Rais? Alafu kazi yote ile ya tume alafu wanapewa masaa mawili tu?
 
Kwanini Warioba ahutubie kabla ya Bunge kuzinduliwa na Rais? Alafu kazi yote ile ya tume alafu wanapewa masaa mawili tu?

Zote hizo ni njama za kuja kumfunika Warioba na kupangua maoni ya wananchi kwa mtindo wa sijui jingajinga gani kuzindua bunge movie, aaa we still have a very long way to go.
 
Kwa jinsi Mtiririko wa Matukio ulivyo,Najuta kwa nini nilizaliwa nikajikuta napenda kufatilia masuala ya Siasa,Bora ningekua Mfatiliaji hata wa Mieleka Nikaepukana na Pressure hizi,Maana napoona Watu wachache wanajaribu kupindisha Maoni ya Walio Wengi kwa Maslahi yao Binafsi, Moyo Wangu unajaa Mithili ya Kuripuka,Eee Mungu nisaidie.
 
Kwa jinsi Mtiririko wa Matukio ulivyo,Najuta kwa nini nilizaliwa nikajikuta napenda kufatilia masuala ya Siasa,Bora ningekua Mfatiliaji hata wa Mieleka Nikaepukana na Pressure hizi,Maana napoona Watu wachache wanajaribu kupindisha Maoni ya Walio Wengi kwa Maslahi yao Binafsi, Moyo Wangu unajaa Mithili ya Kuripuka,Eee Mungu nisaidie.

Mkuu umewakilisha mawazo yangu barabara, asante.
 
Tutasikia Mengi leo,Warioba hana lawama yeye ni mjumbe wa watanzania,ila CCM ndo wabebe lawama juu ya chochote Kibaya
 
Tutasikia Mengi leo,Warioba hana lawama yeye ni mjumbe wa watanzania,ila CCM ndo wabebe lawama juu ya chochote Kibaya

Ila tu wasije kumfanyia kama ya Horace kisha Amina kisha Imrani na wengine.
 
Habari Wana JF Wenzangu.

Ktk Kumbukumbu Zangu Kama Nitakuwa Sijakosea Wiki Mbili Zilizopita ktk Bunge letu La Katiba Kulikuwa na Hoja Kuwa Kufanyike Marekebisho Kidogo ktk Suala Zima La Uapishwaji wa Wabunge na Haswa Kwa Wabunge Ambao ni Wa Dini Ya Kiislamu Mama Zetu, Wake Zetu, Dada Zetu ambao Kwa Mujibu wa Dini Yao na Haswa Nikimnukuu Mjumbe Mmoja Ambaye Alikuwa Ni Mufti Alisema Kuwa Kwa Mujibu wa Dini Hiyo Ya Kiislamu Mwanamke Hatakiwi Kushika Msahafu Kuapa Kama Siku Hiyo Yuko Period au Hedhini au Mwezini ( Kuku Kachinjwa ) Kwani ni Uchafu.

Sasa Kwa Takribani Siku Ya Tatu Leo Wajumbe Wa Bunge Maalum La Katiba Wanaapishwa Na Wote Nawaona Wanashika Hiyo Misahafu Sijui Quran na Kwa Sisi Wakristo Biblia Je Ndiyo Kusema Wabunge Wote hao Wanawake Wakiislamu ktk Siku Tatu hizi Za Kuapishwa Kwao Hawatumiki? Hawako Period? Je Kidini Kuapa na Msahafu Tena Huku Unatumika Kwa Mtoto wa Kike Siyo Kumtusi Mwenyezi Mungu?

Naomba Wenye Ufahamu na Hili Wanipe Ufafanuzi NA NATOA ONYO KAMA UNAJUA HUNA WAZO TAFADHALI PITA TU NA USICHANGIE UTUMBO WAKO TUKAJA KUTIBUANA BURE NA TUIANZE WIKI VIBAYA na SITAKI MICHANGO YA KIUCHOCHEZI YA KIDINI na NITAWASHUKURU SANA WALE WANAZUONI HASWA WA DINI WAKINIPA UFAFANUZI na Wapagani Hapa Hapawahusu.

Nawasilisha Wajameni!!!!!!
 
We mwenyewe umeandika utumbo alaf unakua defensive.kama wamemtukana mnyazi mungu wewe inakuhusu nin,acha mnyazi mungu mwenyewe atawashughulikia.
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Kwa jinsi Mtiririko wa Matukio ulivyo,Najuta kwa nini nilizaliwa nikajikuta napenda kufatilia masuala ya Siasa,Bora ningekua Mfatiliaji hata wa Mieleka Nikaepukana na Pressure hizi,Maana napoona Watu wachache wanajaribu kupindisha Maoni ya Walio Wengi kwa Maslahi yao Binafsi, Moyo Wangu unajaa Mithili ya Kuripuka,Eee Mungu nisaidie.

Pole ndugu, ni kweli inauma sana.. yaani kuna watu nikiwaangalia pale natamani kushika mtutu, wanaudhi sana!!
 
Back
Top Bottom