Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisema laki tatu zinaonekana ndogo..., sema kabisa hizo laki tatu mara idadi ya wajumbe woteHii ni kali sasa na cjui tunaenda wapi laki tatu zinaliwa buree tuu bora tusitishe hili la katiba maana hatukuwa tumejiandaa kisaikolojia na suala hili
Tukiwa shule walimu walitumia adhabu ya viboko kudhibiti kelele na fujo darasani sasa kwa kuwa wabunge wa bunge la katiba wamekosa nidhamu kabisa bila shaka adhabu ya viboko inawafaa sana kwani hawamuheshimu kiongozi wa bunge hilo.
Punde nimefungua TBC Tv channel nilichokishuhudia ni wajumbe kumshangilia jaji Warioba mfululizo kwa kugonga meza bira kikomo mpaka speaker akaamua kuvuja kikao. nini kilitokea?// naomba mnijuze wana jamvi
Ndivyo alivyo fanyiwa, baadhi ya wabunge wakiongozwa na Mtikila wamesimama na kuanza kupiga meza huku wakionesha hali ya kutokukubali Jaji Sinde hasisome rasimu bungeni.
Punde nimefungua TBC Tv channel nilichokishuhudia ni wajumbe kumshangilia jaji Warioba mfululizo kwa kugonga meza bira kikomo mpaka speaker akaamua kuvuja kikao. nini kilitokea?// naomba mnijuze wana jamvi
Mkuu uzuzu wangu uko wapi ndio nimeuliza nasikaia tetesi....kumbuka mimi sipo kwa Luninga wala radio! mimi kama ni zuzu wewe ni SITA WETU! MNDUKU ,MAYALA MKUBWA WEWE!Weee nawe zuzu kweli, warioba hakuzomewa... kilichotoke wajumbe wamekata warioba asiseme chochote haondoke hili Jk Ndio anze kuongea... kama kanuni zinavyosema.
Sita akalazimisha warioba akapigiwa makele hasionge basi.