Yanayojiri Bungeni Dodoma leo March 08, 2014

Yanayojiri Bungeni Dodoma leo March 08, 2014

Msisahau kutupia picha nyingi maana kuna wengine picha tunaaielewa zaidi kuliko bla blaaaa

Unaharibu! Hilo neno(bla bla) halikupaswa kuwekwa hapo. Ungesema hivi" Wengine lugha ya picha tunaielewa zaidi kuliko maneno."
 
kumbe uko na gamba lenzio.hata sina muda wa kufuatilia uchafu wenu maana nyie ni kizazi cha wachakachuaji.

acha upuuz mbona mwanachakudema yericho alituletea updates za kes ya zitto kutoka mahakamani na tulichangia
 
acha upuuz mbona mwanachakudema yericho alituletea updates za kes ya zitto kutoka mahakamani na tulichangia
Mkuu, kuna watu huwa wana ushabiki sijui niuite wa kijinga au vipi.
 
Chabruma

nani wa kukuamini mbulumundu kama wewe???? peleka udaku wako lumumba fc!
 
Last edited by a moderator:
Hivi ni mtanzania yupi anayeweza kuamini habari kutoka kwa misukule kama ninyi????
Dah mkuu. Labda wewe tu ndo huamini ila wengi wanaamini kwa vile taarifa zetu hazina chembe ya ushabiki wa kisiasa hasa katika suala hili la kaitba mpya.
 
Tunaomba taarifa zilizosadifu bila kujali makundi gani yanashabikiwa.
Katiba hii ni ya Wa Tz Hata ambao mama zao hawajaolewa leo. miaka 50 mbele. Mungu ibariki Tanzania uwalaani wote wanaituletea shida. matatizo na migongano.
 
nani wa kukuamini mbulumundu kama wewe???? peleka udaku wako lumumba fc!

Huyu naye ni miongoni mwa wale wenye misimamo ya kiitikadi au makundi.
Tunategemeana. mwanasiasa anamtegemea mfanyakazi. mkulima nk.
Tanzania ni moja.
 
Mkuu, naamini kuwa linapokuja suala la kitaifa kama hili la katiba, watanzania ni wamoja. Ndo maana hata kwenye ile kamati ya kanuni kuna akina Simbachawene, Lissu, Abubakar Hamis Bakari na wengine wenye itikadi tofauti kisiasa. Hilo lisikuumize sana. Jana hawa jamaa wamefanya kazi nzuri na naamini leo watakuwa hivyo pia

tatizo ni akili za kina simiyu yetu.wana matope kichwani.kwani magamba wana cha suala la taifa zaid ya matumbo yao?
 
Naomba kujua km kuna redio yeyote itarusha. nipo dar ila na kazi yangu ya umachinga siwezi kwenda kukaa bar niangalie.

mmachinga umetoka wapi huku jf? Kumbe ninyi ndo mnaotoa matuc kwa uelewa wenu mdogo! Nafanya mpango wa kujitoa kama hadi wakwepa kodi wapo huku!
 
Dah mkuu. Labda wewe tu ndo huamini ila wengi wanaamini kwa vile taarifa zetu hazina chembe ya ushabiki wa kisiasa hasa katika suala hili la kaitba mpya.

huna msimamo wa chama chako cha magamba?au umemgeuka ------?
 
Back
Top Bottom