Msisahau kutupia picha nyingi maana kuna wengine picha tunaaielewa zaidi kuliko bla blaaaa
kumbe uko na gamba lenzio.hata sina muda wa kufuatilia uchafu wenu maana nyie ni kizazi cha wachakachuaji.
Sina imani na hii timu kwamba itamtaja lissu kwa usahihi bila kuongeza chumvi
Mkuu huwezi kuishi na kufanya kazi halafu usilipwe posho hilo halikwepeki kabisa ni haki yetu.
hiyo Kmati ya Maridhiano ni ilikuwa na wajumbe gani Mkuu...Weka na Picha zao kama vip
Dah mkuu. Labda wewe tu ndo huamini ila wengi wanaamini kwa vile taarifa zetu hazina chembe ya ushabiki wa kisiasa hasa katika suala hili la kaitba mpya.Hivi ni mtanzania yupi anayeweza kuamini habari kutoka kwa misukule kama ninyi????
Unatumia Laptop au simu ya Tochi Mkuupicha zitoke wapi kwenye semina
nani wa kukuamini mbulumundu kama wewe???? peleka udaku wako lumumba fc!
Mkuu, naamini kuwa linapokuja suala la kitaifa kama hili la katiba, watanzania ni wamoja. Ndo maana hata kwenye ile kamati ya kanuni kuna akina Simbachawene, Lissu, Abubakar Hamis Bakari na wengine wenye itikadi tofauti kisiasa. Hilo lisikuumize sana. Jana hawa jamaa wamefanya kazi nzuri na naamini leo watakuwa hivyo pia
acha upuuz mbona mwanachakudema yericho alituletea updates za kes ya zitto kutoka mahakamani na tulichangia
Naomba kujua km kuna redio yeyote itarusha. nipo dar ila na kazi yangu ya umachinga siwezi kwenda kukaa bar niangalie.
Dah mkuu. Labda wewe tu ndo huamini ila wengi wanaamini kwa vile taarifa zetu hazina chembe ya ushabiki wa kisiasa hasa katika suala hili la kaitba mpya.
Chabruma taarifa yako fupi imetulia sana,naomba uongeze juhudi unaweza kuwa mwandishi bora kabisa Tanzania.