Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Wabunge 281 wapiga kura ya ndio kumuondoa aliyekuwa Naibu Rais Kenya, Rigathi Gachagua madarakani.
~ Waliopiga kura ya hapana - 44
~ Ambao hawakuchagua kokote - 1
Tanzania tutachukua muda gani kufikia huku?🌚
===
Tukio linaloendelea bungeni Kenya ni upigaji kura ili kuamua hatma ya Naibu Rais Kenya, Rigathi Gachagua kama atabaki kwenye nafasi hiyo au lah
---
Matokeo
Wajumbe wa Bunge la Kitaifa wamepiga kura ya kumwondoa Naibu Rais, Rigathi Gachagua madarakani ambapo zilihitajika Theluthi mbili (2/3) ya kura za Wabunge wote, sawa na Wabunge 233, ili kufanikisha kupitishwa kwa hoja hiyo
Gachagua alisomewa mashtaka 11 yakiwemo ya Ufisadi, Ukabila na Matumizi mabaya ya Madaraka, ambapo licha ya kujitetea, Bunge limemkuta na hatia
Hatima ya Gachagua sasa iko mikononi mwa Seneti, ambayo inatarajiwa kuchunguza mashtaka hayo. Spika wa Bunge la Taifa, Moses Wetang’ula amesema kuwa Spika wa Seneti, Amason Kingi atapokea taarifa rasmi ya uamuzi huo ndani ya Siku 7 na kuitisha Kikao cha Seneti kujadili suala hilo
Pia soma: Yanayojiri hoja ya kumuondoa Naibu Rais Rigath Gachagua leo Oktoba 1, 2024
Wabunge 281 wapiga kura ya ndio kumuondoa aliyekuwa Naibu Rais Kenya, Rigathi Gachagua madarakani.
~ Waliopiga kura ya hapana - 44
~ Ambao hawakuchagua kokote - 1
Tanzania tutachukua muda gani kufikia huku?🌚
===
Tukio linaloendelea bungeni Kenya ni upigaji kura ili kuamua hatma ya Naibu Rais Kenya, Rigathi Gachagua kama atabaki kwenye nafasi hiyo au lah
---
Matokeo
Wajumbe wa Bunge la Kitaifa wamepiga kura ya kumwondoa Naibu Rais, Rigathi Gachagua madarakani ambapo zilihitajika Theluthi mbili (2/3) ya kura za Wabunge wote, sawa na Wabunge 233, ili kufanikisha kupitishwa kwa hoja hiyo
Gachagua alisomewa mashtaka 11 yakiwemo ya Ufisadi, Ukabila na Matumizi mabaya ya Madaraka, ambapo licha ya kujitetea, Bunge limemkuta na hatia
Hatima ya Gachagua sasa iko mikononi mwa Seneti, ambayo inatarajiwa kuchunguza mashtaka hayo. Spika wa Bunge la Taifa, Moses Wetang’ula amesema kuwa Spika wa Seneti, Amason Kingi atapokea taarifa rasmi ya uamuzi huo ndani ya Siku 7 na kuitisha Kikao cha Seneti kujadili suala hilo
Pia soma: Yanayojiri hoja ya kumuondoa Naibu Rais Rigath Gachagua leo Oktoba 1, 2024