Yanayojiri Bungeni Kenya: Wabunge 281 wapiga kura ya kumuondoa madarakani Gachagua

Yanayojiri Bungeni Kenya: Wabunge 281 wapiga kura ya kumuondoa madarakani Gachagua

Hivi amekosa nini huyu bwana?
Ukiacha ukabila, kosa kubwa alilofanya ni kujiunga na Ruto.
Ruto ni mbinafsi, hawezi iva chungu kimoja na mtu yeyote yule.

Ruto ni mzee wa kutumia fursa. Anapokuhitaji atajionyesha kama anaweza hata kufa kwa ajili yako, matumizi na mtu yakiisha anakutupilia kule.

Uhuru alionya sana Wakenya kuhusu Ruto, lakini hawakumuelewa.
 
Wakuu,

Wabunge 281 wapiga kura ya ndio kumuondoa aliyekuwa Naibu Rais Kenya, Rigathi Gachagua madarakani.

~ Waliopiga kura ya hapana - 44
~ Ambao hawakuchagua kokote - 1

Tanzania tutachukua muda gani kufikia huku?🌚

===

Tukio linaloendelea bungeni Kenya ni upigaji kura ili kuamua hatma ya Naibu Rais Kenya, Rigathi Gachagua kama atabaki kwenye nafasi hiyo au lah


View: https://www.youtube.com/live/AAovgfxO3r4?si=s-chEnrth4f3tjp5

Pia soma: Yanayojiri hoja ya kumuondoa Naibu Rais Rigath Gachagua leo Oktoba 1, 2024

Wabunge wa Ruto na Raila ndio wamehusika.

Sasa unadhani Kuna Kiongozi yeyote ambae anaweza mfitini Rais na asiondolewe?

Tanznaia haihitaji hiyo kura Kwa watu wadogo ,unapewa Maelekezo na mkubwa tuu na unajiuzulu sio kupotezeana mda Bungeni bila sababu za msingi.eg Ndugai au Lowasa.
 
Mpaka zipotee hizi jamii za akina Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah. 😕😕 Maana hawa ndo wengi zaidi hapa JMT.
kiburi, majivuno na matatizo ya kibinafsi ya msema kweli yatatuliwe kibinafsi,

Mwambieni na yule muungwana kiongozi wenu msaidizi wa chama Taifa, aache mara moja kutumia chama kwa manufaa yake binafsi, la sivyo mkubwa wa chama atabadili katiba na sheria sasa hivi 🐒
 
Wakuu,

Wabunge 281 wapiga kura ya ndio kumuondoa aliyekuwa Naibu Rais Kenya, Rigathi Gachagua madarakani.

~ Waliopiga kura ya hapana - 44
~ Ambao hawakuchagua kokote - 1

Tanzania tutachukua muda gani kufikia huku?🌚

===

Tukio linaloendelea bungeni Kenya ni upigaji kura ili kuamua hatma ya Naibu Rais Kenya, Rigathi Gachagua kama atabaki kwenye nafasi hiyo au lah


View: https://www.youtube.com/live/AAovgfxO3r4?si=s-chEnrth4f3tjp5

Pia soma: Yanayojiri hoja ya kumuondoa Naibu Rais Rigath Gachagua leo Oktoba 1, 2024

RigGy kajikaanga kwa mafuta yake mwenyewe kama nguruwe tu..

Tanzania hakuna haja kua na katiba mbovu kama ya Kenya kuhusu mambo ya uongozi. Makamu wa Rais ni principal assistant wa Rais Full stop.

Zaidi ya hapo ni ushirikiana na uchawi kama huo wa Kenya. Katiba yao wenyewe na inawagawa wao wenyewe very useless 🐒
 
Wakenya wanajielewa
Sio sisi Watanganyika
Tupo kama wehu
Bandari zinauzwa, Masai wamekuwa wakimbizi, Serengeti inakuwa Kwa uchimbaji, umeme wa kubip, utekaji, Rushwa nk
Lakini tunaona kama haya hayatuhusu

Wee ndo huelewi. Umesahau sisi tulivyomtoa madarakani Waziri Mkuu kwa sababu ya sakata la Richmond? Au ulikuwa bado unasoma darasa la saba?
 
Yaani Kenya Ukiwa Madarakani Ujue Hao Waliokuweka Muda Wowote Wanakutoa, Issue Ya Naibu Rais Ana Utajiri Wa Uyoga Kitu Ambacho Kimewaudhi Sana Jamhuri Ya Watu Wa Kenya

TTanzania Wenye Utajiri Wa Uyoga Serikalini Wapo Tena Ni Untouchable.
 
Ukiacha ukabila, kosa kubwa alilofanya na kujiunga na Ruto.
Ruto ni mbinafsi, hawezi iva chungu kimoja na mtu yeyote yule.

Ruto ni mzee wa kutumia fursa. Anapokuhitaji atajionyesha kama anaweza hata kufa kwa ajili yako, matumizi na mtu ya kuisha anakutupilia kule.

Uhuru alionya sana Wakenya kuhusu Ruto, lakini hawakumuelewa.
Acha kiwalambe, ususani wakikuyu.mpaka walifikia hatua ya kumtukana Uhuru kwakuwa alikuwa upande wa Raila.
 
Yaani Kenya Ukiwa Madarakani Ujue Hao Waliokuweka Muda Wowote Wanakutoa, Issue Ya Naibu Rais Ana Utajiri Wa Uyoga Kitu Ambacho Kimewaudhi Sana Jamhuri Ya Watu Wa Kenya

TTanzania Wenye Utajiri Wa Uyoga Serikalini Wapo Tena Ni Untouchable.
Mbona wanasema utajiri wake mkubwa unatoka kwa marehemu kaka yake Nderitu
 
H
Wakuu,

Wabunge 281 wapiga kura ya ndio kumuondoa aliyekuwa Naibu Rais Kenya, Rigathi Gachagua madarakani.

~ Waliopiga kura ya hapana - 44
~ Ambao hawakuchagua kokote - 1

Tanzania tutachukua muda gani kufikia huku?🌚


===

Tukio linaloendelea bungeni Kenya ni upigaji kura ili kuamua hatma ya Naibu Rais Kenya, Rigathi Gachagua kama atabaki kwenye nafasi hiyo au lah


View: https://www.youtube.com/live/AAovgfxO3r4?si=s-chEnrth4f3tjp5

Pia soma: Yanayojiri hoja ya kumuondoa Naibu Rais Rigath Gachagua leo Oktoba 1, 2024

Huku kwetu bunge linaongozwa na watu wenye ubongo wataahira...wako kupitisha kodi za miamala,kunsifu raisi,kusema mitano tena...yani bunge la wenda wazimu
 
Bunge la Kenya jioni hii limepiga kura na kumuondoa naibu Rais Dr Gachagua kwa kura 281 katika nafasi yake na kura 44 zilikataa. Hii inakuwa mara ya kwanza na history kwa nchi za African mashariki na kati kuendesha zoezi la impeachment.
 
Hata katiba ya Tanzania inaruhusu bunge kupiga kura ya kutokuwa na imani na rais na wanaweza kumng'oa. Ila inashauriwa mbunge hasa wa CCM asije akawaza huo upuuzi maana ni kitu hatari zaidi ya kifo.
 
Back
Top Bottom